Jengo la ofisi ya Mwalimu Nyerere Foundation lililokuwa karibu na chuo cha IFM lilibomolewa kwa ajili ya matengenezo/ujenzi wa jengo jipya. Eneo lilizungushiwa hadi mabati, but hivi karibuni mabati yametolewa na makontena yaliyopo pale yamekuwa ofisi ya NPS (watu wa parking). Jengo linajengwa mahali pengine au ndio basi? Wakuu wenye nyeti tujuzeni, isije ikawa foundation ya baba wa taifa ndio inachinjiwa baharini kiaina.