Mwalimu Nyerere aliwahi kusema haya juu ya Dr. Magufuli na Edward Lowassa

Hayati Mwalim Nyerere akimzungumzia kukataliwa kw…:
EDWARD LOWASA ALIKATALIWA TANGU ENZI YA MWL.

..ya kitaaaààambo...we ndo unaiona leo...ushamba mzigo unajaza saver bure uchaguz umeisha leta current issue kama huna si lazima ulete uzi soma za wenzako kama huna nenda haja ndogo ukalale
 
Lowassa ana nyota ya daraja wenzake wanamtumia kufikia malengo yao ila yeye kashindwa kuwatumia alianza Kikwete akamtumia weeee mpaka akaingia ikulu kilichotokea dodoma hakuna aliyeamini kaja mbowe Nae anamtumia kafanikiwa kupata wabunge wengi ruzuku imeongezeka 2020 lazima atoswe baharini pole Lowassa urais uliupenda sana ila wenyewe haukupendi
 
Mnajua nyie mambo mengine ukiyasikia ukiyasoma unaweza ukajiuliza kama kweli tuko sawa sawa. Taifa letu linapita kwenye changamoto nyingi ambazo zinahitaji utatuzi kukabiliana nazo mitandao ya kijamii kama hii tunayoitumia mojawapo ya kisima cha mawazo tukaitumia sahihi kuhakikisha taifa letu linaenda mbele. Hoja kama hizi ambazo hazina mantiki za upotoshwaji kwa malengo mbali mbali lazima tusizipe nafasi lakini mleta mada anasahau mwalimu alipoulizwa mwaka huo 95 kuhusu masuala ya ungozi na chama alisema chama kina hazina kubwa ya vijana na vijana aliyewatolea mfano walikuwa ni jakaya na lowassa na kweli ikawa jakaya rais lowassa waziri mkuu na chama cha mapinduzi kikaridhia wawili hao kushika dhamana hizo. Pili mungu akatupa akili ili tuweze kutafakari kwa kina kabisa suala kila kitu mwalimu kesema hatujitendei haki wala hatumtendei haki baba wa taifa na yeye mwenyewe alishalionya taifa kuwa yeye hakuwa malaika kuna makosa alifanya na ndio mana alituchagulia kiongozi wetu wa pili mzee mwinyi kama mtu sahihi wa kumrithi lakini tukashuhudia baba alivyokuwa mkali kwa mh rais alivyotegemea sivyo. Baba wa taifa mungu akampa nafasi nyengine ya kutuchagulia kiongozi wetu wa tatu mzee wetu mkapa ambaye aliamini atakuwa mwanafunzi wake mtiifu wa sera zake na tanzania aliyokuwa anaitaka kwa mara nyengine tena mzee mkapa alikuwa na mtazamo mwengine wa kiuongozi wa utandawazi na soko huria hali ilomfanya baba wa taifa kutofurahishwa. Sasa basi kuleta hoja sijui lowassa kakataliwa kuwa hafai na ambazo ushahidi wake dhaifu hazina mantiki wacheni democracy ifanye kazi yake mtu ambaye hatari na hafai kwa taifa hawezi kuwa waziri, waziri mkuu na wala hawezi kupitishwa na tume ya taifa ya uchaguzi kuwa mgombea wa kiti cha urais. Manaake akipita atakuwa rais na taifa litakuwa rehani. Tuacheni kubwabwaja ili taifa letu liende mbele. Huu ni wakati wa kuchagua sisi
 
Back
Top Bottom