Mwalimu Nyerere alikusanya kodi kisayansi

nyatofundi

Member
Apr 3, 2012
15
7
Kwanza alijenga viwanda kwa mfumo wa uchumi wa kujitegemea- Alihakikisha ana Heavy Industries katika sekta nyingi kama vile Kiwanda cha Karatasi Mgololo ambacho kilitumia maligafi ya miti ya msitu wa saohill, mkaa ya kiwira na kuzalisha karatasi kwa ajili ya Printing industries ambazo vilitengeneza packaging products, stationery, news paper industries etc.

Viwanda vya vipuri kama vile Mangula Machines Tools, Kilimanjaro Machine Tools ambavyo vilizalisha vipuri kwa ajili ya viwanda kama cha karatasi. Viwanda vya cement, Kiwanda cha chuma na mbolea na vingine vingiiiiiiii.

Katika viwanda vyote na maeneo mengine ya kibiashara ambayo yalionekana ni potetial aliweka maafisa kodi/mapato kutoka INCOME TAX, Maafisa hao walikuwa na jukumu la kurekodi takwimu za uzalishaji za kila siku, ifikapo mwisho wa mwezi bill iliandikwa na kodi ililipwa maramoja.

LEO, Maafisa wa TRA hupiga simu kwenye viwanda na migodi kuomba appoitment ya kuwekewa takwimu za kukadiria kodi!!!!!!!!watanzania tunaibiwa mno kuliko tunavyofikiria. Watoto wetu wasingekaa chini kwa kukosa madawati, machinga wetu wasingezagaa barabarani na kumwagiwa maji ya sumu, hospitali zetu zingekuwa na huduma nzuri kama kodi ingekusanywa ipasavyo tena kwenye pontetial sectors.
 
Kwanza alijenga viwanda kwa mfumo wa uchumi wa kujitegemea- Alihakikisha ana Heavy Industries katika sekta nyingi kama vile Kiwanda cha Karatasi Mgololo ambacho kilitumia maligafi ya miti ya msitu wa saohill, mkaa ya kiwira na kuzalisha karatasi kwa ajili ya Printing industries ambazo vilitengeneza packaging products, stationery, news paper industries etc.

Viwanda vya vipuri kama vile Mangula Machines Tools, Kilimanjaro Machine Tools ambavyo vilizalisha vipuri kwa ajili ya viwanda kama cha karatasi. Viwanda vya cement, Kiwanda cha chuma na mbolea na vingine vingiiiiiiii.

Katika viwanda vyote na maeneo mengine ya kibiashara ambayo yalionekana ni potetial aliweka maafisa kodi/mapato kutoka INCOME TAX, Maafisa hao walikuwa na jukumu la kurekodi takwimu za uzalishaji za kila siku, ifikapo mwisho wa mwezi bill iliandikwa na kodi ililipwa maramoja.

LEO, Maafisa wa TRA hupiga simu kwenye viwanda na migodi kuomba appoitment ya kuwekewa takwimu za kukadiria kodi!!!!!!!!watanzania tunaibiwa mno kuliko tunavyofikiria. Watoto wetu wasingekaa chini kwa kukosa madawati, machinga wetu wasingezagaa barabarani na kumwagiwa maji ya sumu, hospitali zetu zingekuwa na huduma nzuri kama kodi ingekusanywa ipasavyo tena kwenye pontetial sectors.

Kauli yako nzito mkuu, lakini serikari hii haiambiliki!
Tena wewe watakuona mchochezi kama Lema tu!!
 
Ngoja narudi mkuu,natumia simu naona sijaifaidi thread yako
 
Honestly asking..Where is Faiza Fox also known as FF? She could as always come with the ideas as seen from the other side of the "coin" in Maters that has Nyerere as the subject.I have missed that a lot.
 
Kauli yako nzito mkuu, lakini serikari hii haiambiliki!
Tena wewe watakuona mchochezi kama Lema tu!!

Hilo nalo tatizo. mpaka na tubadili mitazamo yao itachukua muda lakini ndani ya mioyo yao wanajua kuwa njia sahihi tunayoionesha. kazi kwao historia itawahukumu. Lakini pia wachukulie maneno humu ndani kama resource center ingewasaidia sana kuwa dynamic.
 
Back
Top Bottom