pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,023
- 3,211
Kila mbuzi atakula anachokiona nakukiweza....
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa huyu mwalimu wa shule ya sekondari kufanya ngono na wanafunzi wake wa kike tena wengine ni watoto wadogo kabisa, asipojirekebisha tutamtaja jina lake na shule anayofundisha.
Mtaje, kwanini unaficha jina lake?
Kama ni watoto wadogo kabisa
na wewe una uwezo wa kuziwia
but unaendelea kukaa kimya
basi na wewe ushtakiwe for complicity!