Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Kwanini katika serikali hakuna cheo cha mwalimu mkuu wa serikali kama zilivyo nafasi zingine
1.mwanasheria mkuu wa serikali
2.mkemia mkuu wa serikali
3.daktari mkuu wa serikali
4.mkuu wa jeshi la polisi
5.mkuu wa jeshi la kujenga taifa
6.mkuu wa jeshi la wananchi
7.mkuu wa magereza
8.mhasibu mkuu wa serikali
9.
10
Kwanini waalimu tu,,,ongezea wengine na majibu pia
"vox populi,Vox dei"
1.mwanasheria mkuu wa serikali
2.mkemia mkuu wa serikali
3.daktari mkuu wa serikali
4.mkuu wa jeshi la polisi
5.mkuu wa jeshi la kujenga taifa
6.mkuu wa jeshi la wananchi
7.mkuu wa magereza
8.mhasibu mkuu wa serikali
9.
10
Kwanini waalimu tu,,,ongezea wengine na majibu pia
"vox populi,Vox dei"