Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Leo mtoto wangu wa grade 1 anayesoma saint Marry Tabata amerudi na kunipa habari mpya, aliniambia kuwa mwalimu mkuu wao ambaye ni mkenya Mr Kamau kapigwa mapanga na majambazi jana usiku, sikumuamini nimejaribu kuulizia nikaambiwa ni kweli kapigwa mapanga hali yake mbaya sana yuko icu na hao watu hawakuchukua kitu, wenye data kamili
hapa jamvini watuhabarishe....
hapa jamvini watuhabarishe....