Mwalimu mkuu Kiluvya sec amezidisha adhabu

<span style="font-family: garamond"><font size="4">Haya ndo maoni/ushauri/mawazo toka kwako? Unadhani hii ni adhabu stahili?</font></span>
<br />
<br />
It's true hayo ni maoni yangu, vp ulitaka yawe yako?

Plz pple lets be great thinkers kwa kujiuliza maswali haya. Hivi inakuwaje taarifa aliyoitoa mtoa hoja tuichukulie kuwa sahihi pasi na shaka yoyote?

Na kwa nini 2mhukumu huyo mwalimu moja kwa moja? Tuna uhakika gani kama mtoa mada ni mwanafunzi au ni mhuni tu wa hapo kiluvya na pengine wana bifu na huyo mwalimu?

Je tuna uhakika gani kama sababu aliyoitoa ndio chanzo cha adhabu hiyo?

Na je tuna uhakika gani kama adhabu hiyo ilitolewa?

Stop judging a book frm it's cover, uchunguzi makini unahitajika.

Ni mtazamo wangu na naomba ieleweke kuwa simtetei mwalimu na wala sikubaliani na kutolewa kwa adhabu hiyo.
 
Nikiwa darasa la kwanza huku Ukerewe nilitandikwa bakora kumi na mwalimu Tausi, baada ya kuandika jina lake kwenye ubao pasipo idhini yake. Nilikuwa bado mdogo sana. Huwa nafikiria sana kuhusu yule mwalimu, maana angenisifia kwa kuweza kuandika jina lake mapema kiasi icho kuliko wanafunzi wengine. Hivi kumbe walimuwa viboko mpaka kumi bado wapo?
 
<br />
<br />
It's true hayo ni maoni yangu, vp ulitaka yawe yako?

Plz pple lets be great thinkers kwa kujiuliza maswali haya. Hivi inakuwaje taarifa aliyoitoa mtoa hoja tuichukulie kuwa sahihi pasi na shaka yoyote?

Na kwa nini 2mhukumu huyo mwalimu moja kwa moja? Tuna uhakika gani kama mtoa mada ni mwanafunzi au ni mhuni tu wa hapo kiluvya na pengine wana bifu na huyo mwalimu?

Je tuna uhakika gani kama sababu aliyoitoa ndio chanzo cha adhabu hiyo?

Na je tuna uhakika gani kama adhabu hiyo ilitolewa?

Stop judging a book frm it's cover, uchunguzi makini unahitajika.

Ni mtazamo wangu na naomba ieleweke kuwa simtetei mwalimu na wala sikubaliani na kutolewa kwa adhabu hiyo.

Yah nakuunga mguu.
 
<br />
<br />
It's true hayo ni maoni yangu, vp ulitaka yawe yako?

Plz pple lets be great thinkers kwa kujiuliza maswali haya. Hivi inakuwaje taarifa aliyoitoa mtoa hoja tuichukulie kuwa sahihi pasi na shaka yoyote?

Na kwa nini 2mhukumu huyo mwalimu moja kwa moja? Tuna uhakika gani kama mtoa mada ni mwanafunzi au ni mhuni tu wa hapo kiluvya na pengine wana bifu na huyo mwalimu?

Je tuna uhakika gani kama sababu aliyoitoa ndio chanzo cha adhabu hiyo?

Na je tuna uhakika gani kama adhabu hiyo ilitolewa?

Stop judging a book frm it's cover, uchunguzi makini unahitajika.

Ni mtazamo wangu na naomba ieleweke kuwa simtetei mwalimu na wala sikubaliani na kutolewa kwa adhabu hiyo.

sio siri yule mkuu wa shule F.M anapiga fimbo balaa
wanachumba kinaitwa 'dark room' ukipelekwa humo hatarii
 
Ni sawa tu kuwachapa viboko wanafunzi wa siku hizi hawana nidhamu hasa shule za serikali na suala la utovu wa nidhamu nalo ni moja ya sababu ya shule nyingi za serikali kushindwa kufanya vizuri kitaaluma hasa shule za kata. Itabidi adhabu kali ziwepo mashuleni ikiwemo hiyo ya fimbo
 
Hebu tafuta sababu alafu utuambie kwann viboko kumu? lakini sinauhakika kama ni kosa la kutolipa ada,coz ada inalipwa n mzazi au mlezi.
 
kumi naona kidogo sana! Kuna shule inaitwa TAQWA sec ya mwanza angalia matokeo yao centre no ni 578, kwa walio soma hapo wanafahamu viboko kumi ni vichache sana watu wanatembelea 15 hadi juu!

Mzazi ukubisha beba mwanao tafutashule ingine! but impact yake inaonekana! nncho pinga ni kutoa adhabu bila sababu, Lakini pia isiwe ya kumuumiza bali kumfunza mtoto, lakini kama mtoto anasumbua mvua imnyeshee tu! hawa watoto wetu wa shule za kata jamani hem fanyeni uchunguzi mtajua tu! Alafu kuiendesha shule ya kata inahitaji moyo mgumu sana! lasiivyo mtamlaumu huyo mkuu wa shule bure tu! namleta mada nahisi wewe ni mwalimu wa iyo shule na unamalengo yako hapa!
 
Hii ni kitu ya miaka miwili au mitatu iliyopita
that she yuko fomu six now;
sijajua kama bado wanakula bakora au kama that ticha amebadilishwa.

kumi naona kidogo sana! Kuna shule inaitwa TAQWA sec ya mwanza angalia matokeo yao centre no ni 578, kwa walio soma hapo wanafahamu viboko kumi ni vichache sana watu wanatembelea 15 hadi juu!

Mzazi ukubisha beba mwanao tafutashule ingine! but impact yake inaonekana! nncho pinga ni kutoa adhabu bila sababu, Lakini pia isiwe ya kumuumiza bali kumfunza mtoto, lakini kama mtoto anasumbua mvua imnyeshee tu! hawa watoto wetu wa shule za kata jamani hem fanyeni uchunguzi mtajua tu! Alafu kuiendesha shule ya kata inahitaji moyo mgumu sana! lasiivyo mtamlaumu huyo mkuu wa shule bure tu! namleta mada nahisi wewe ni mwalimu wa iyo shule na unamalengo yako hapa!
 
Kweli nilifuatilia
Kosa ilikuwa ada na shati ya shule kutokuwa na lebo.

Hebu tafuta sababu alafu utuambie kwann viboko kumu? lakini sinauhakika kama ni kosa la kutolipa ada,coz ada inalipwa n mzazi au mlezi.
 
naamba tuongee hii hali ya ticha mkuu kumchapa mwanafunzi fimbo zaidi ya kumi eti hajalipa ada. mbaya zaidi anafanya hivyo wakati mitihani ya moku inaendelea.

Akimchapa mwanangu viboko kumi namvizia kwenye kona. Navaa kama MCHUNGAJU halafu napiga nyundo Natoa meno ya juu!

Halafu mtasikia asubuhi kwenye nipashe na kichwa cha habari!
"Shehe wa madrasa ampiga nyundo mwalimu mkuu kwa kosa lisilojulikana"!

Mnfnsssssss!
 
Iliniuma sana;
Nangojea siku ya kwenda kuchukua cheti chake ni lazima namimi niende,
tutayaongelea mezani kama watu wazima.

Itabidi niongozane na mabaunsa wakutosha siku hiyo;

Akimchapa mwanangu viboko kumi namvizia kwenye kona. Navaa kama MCHUNGAJU halafu napiga nyundo Natoa meno ya juu!

Halafu mtasikia asubuhi kwenye nipashe na kichwa cha habari!
"Shehe wa madrasa ampiga nyundo mwalimu mkuu kwa kosa lisilojulikana"!

Mnfnsssssss!
 
Iliniuma sana;
Nangojea siku ya kwenda kuchukua cheti chake ni lazima namimi niende,
tutayaongelea mezani kama watu wazima.

Itabidi niongozane na mabaunsa wakutosha siku hiyo;

We siku ya kwenda ni bipu tu!

Mi ntajidai kuwa huyo ni mtoto wa sister!

Halafu ntampiga kibao huyo teacher!
Akisimama lbd mie sio kahtaan!
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo maana tunazalisha nguvu kazi ya kukomoana na si ya kusaidiana. Ikiwa mpaka leo mashuleni Waalim bado wanachapa na si kufundissha. Unategemea nini huyo akija kuwa bosi wa kampuni?
 
Mi nafikiri kwamba tatizo la ada halimhusu mwanafunzi,linamuhusu mzazi.Kwa upande wangu mi naona bora angemchapa mzazi wa mwanafunz hizo fimbo ili aone nn kingetokea.Nadhani hakuna mwanafunz anaependa kusoma huku akiwa ananyanyasika kwa matatizo ya karo.waalim wenzangu naomba tupunguze adhabu.nawaailisha.
 
Back
Top Bottom