DULLAH B.
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 672
- 149
Wana Jf habari zenyu.
Kuna mwl mmoja wa international school moja Moshi alimteka mwanafunzi wake ili alipwe pesa. Ilitawala sana media mwanzoni mwa mwezi huu. Je huyo mwl alikamatwa?
Mtoto alipatikana? Na kama mtoto alipatikana alikua hai kwani huyo mwl alitishia kumua endapo asingelipwa pesa. Naomba mnijuze wana jf.
Nawasilisha.
Kuna mwl mmoja wa international school moja Moshi alimteka mwanafunzi wake ili alipwe pesa. Ilitawala sana media mwanzoni mwa mwezi huu. Je huyo mwl alikamatwa?
Mtoto alipatikana? Na kama mtoto alipatikana alikua hai kwani huyo mwl alitishia kumua endapo asingelipwa pesa. Naomba mnijuze wana jf.
Nawasilisha.