DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Kwa Watanzania wengi ambao hatukuwepo miaka kumi na tano baada ya uhuru tunaweza kujifunza kupitia picha.
Mwalimu Julius Kamabarage Nyerere na baadhi ya Wanachama wenzie wa TANU wakiendesha Mikutano Ya Hadhara Ya Kujenga Chama.
Bibi Titi Mohamed akiwa na Mwalimu pamoja na viongozi wa TANU wakijenga TANU kupitia Mikutano ya Hadhara na wananchi
Mwalimu Juius kambarage Nyerere akila Kiapo chake
Mwalimu Nyerere Pamoja na Baadhi ya Viongozi wa TANU kama Bibi Titi Mohamed Wakiwa katika Mkutano.
Mwalim Nyerere akikaribishwa na Bibi Titi Mohamed.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Wanachama na Viongozi wa TANU akiwaaga kuelekea UNO [Marekani] kwa nia ya kudai uhuru wa Tanganyika.
Mwalimu Julius Kamabarage Nyerere akiludi tioka UNO [Marekani] alikokwenda kudai uhuru Wa Tanganyika
Mwalimu akiwakilisha ripoti ya Taarifa ya Tarehe ya Uhuru
Mwalimu Julius Kamabarage Nyerere akiwa na wanachama na baadhi ya viongozi kutoa taarifa za uhuru wa Tanaganyika.
Mapokezi na shangwe za matayalisho ya uhuru wa Tanganyika katika ukumbi wa Karimjee Hall.
Mwalimu katika kikao na ujumbe wa serikali ya kikoloni ya ungeleza, iliyotumwa na malkia chini ya mwailishi wake maalumu kwa swala la uhuru wa Tanganyika.
Mwalimu akila kiapo cha uhuru wa Tanganyika
Mwalimu Julius Kamnbarage Nyerere akiwa na taarifa ya makubaliano lasmi ya uhuru wa Tanganyika mbele yake ni Mama Mzazi wa Mwalimu Nyerere Mgaya Nyang'ombe,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baada ya uhuru lasmi wa Tanganyika akiwa na vazi lasmi la Picha maalumu kwa matumizi ya ofisi kuu.
Baadhi ya viongzoi wa kwanza wa kiaafrika katika Serikali ya Tanganyika.
Mwalimu akiwa na vijana waliotembea kwa mguu kuunga mkono maamuzi ya TANU wakitokea Kilimanjaro
Mwalimu akioongea na Wananchi Baada ya uhuru wa Tanganyika na kuanza kuimiza ujenzi wa TAIFA.
Mwalimu Julius Kambarage na Abeid Aman Kalume wakikabidhiana nyaraka watu hawa ndio waasisi wa Muungano wa Tanaganyika na Zanzibar.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerer akiongea na Umma wa Wanachi Kwenye maeneo ya vijijini Nchini Tanganyika.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Abeid Amani Karume na Moyo,Viongozi hawa ni moja ya chachu uasisi wa muungano Zanzibar na Tanganyika.
Mwalimu Juklius Kamabarage Nyerere akiwa na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Ya Zanzibar,Kulia kwa Mwalimu anaongea na Mzee Thabit Kombo na kushoto kwa Mwalimu ni Mzee Abeid Aman Kalume ,
Mwalimu Katiaka Ujenzi wa Taifa la Tanzania [By then Tanagyika] kwa Vitendo
Mwalimu katika baadhi ya vikao na baadhi ya Mawaziri kama vile Mzee Rashid Kawawa na alie simama ni George Kahama.
Mwalimu Julius Kamabarage Nyerere na baadhi ya Wanachama wenzie wa TANU wakiendesha Mikutano Ya Hadhara Ya Kujenga Chama.
Bibi Titi Mohamed akiwa na Mwalimu pamoja na viongozi wa TANU wakijenga TANU kupitia Mikutano ya Hadhara na wananchi
Mwalimu Juius kambarage Nyerere akila Kiapo chake
Mwalimu Nyerere Pamoja na Baadhi ya Viongozi wa TANU kama Bibi Titi Mohamed Wakiwa katika Mkutano.
Mwalim Nyerere akikaribishwa na Bibi Titi Mohamed.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Wanachama na Viongozi wa TANU akiwaaga kuelekea UNO [Marekani] kwa nia ya kudai uhuru wa Tanganyika.
Mwalimu Julius Kamabarage Nyerere akiludi tioka UNO [Marekani] alikokwenda kudai uhuru Wa Tanganyika
Mwalimu akiwakilisha ripoti ya Taarifa ya Tarehe ya Uhuru
Mwalimu Julius Kamabarage Nyerere akiwa na wanachama na baadhi ya viongozi kutoa taarifa za uhuru wa Tanaganyika.
Mapokezi na shangwe za matayalisho ya uhuru wa Tanganyika katika ukumbi wa Karimjee Hall.
Mwalimu katika kikao na ujumbe wa serikali ya kikoloni ya ungeleza, iliyotumwa na malkia chini ya mwailishi wake maalumu kwa swala la uhuru wa Tanganyika.
Mwalimu akila kiapo cha uhuru wa Tanganyika
Mwalimu Julius Kamnbarage Nyerere akiwa na taarifa ya makubaliano lasmi ya uhuru wa Tanganyika mbele yake ni Mama Mzazi wa Mwalimu Nyerere Mgaya Nyang'ombe,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baada ya uhuru lasmi wa Tanganyika akiwa na vazi lasmi la Picha maalumu kwa matumizi ya ofisi kuu.
Baadhi ya viongzoi wa kwanza wa kiaafrika katika Serikali ya Tanganyika.
Mwalimu akiwa na vijana waliotembea kwa mguu kuunga mkono maamuzi ya TANU wakitokea Kilimanjaro
Mwalimu akioongea na Wananchi Baada ya uhuru wa Tanganyika na kuanza kuimiza ujenzi wa TAIFA.
Mwalimu Julius Kambarage na Abeid Aman Kalume wakikabidhiana nyaraka watu hawa ndio waasisi wa Muungano wa Tanaganyika na Zanzibar.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerer akiongea na Umma wa Wanachi Kwenye maeneo ya vijijini Nchini Tanganyika.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Abeid Amani Karume na Moyo,Viongozi hawa ni moja ya chachu uasisi wa muungano Zanzibar na Tanganyika.
Mwalimu Juklius Kamabarage Nyerere akiwa na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Ya Zanzibar,Kulia kwa Mwalimu anaongea na Mzee Thabit Kombo na kushoto kwa Mwalimu ni Mzee Abeid Aman Kalume ,
Mwalimu Katiaka Ujenzi wa Taifa la Tanzania [By then Tanagyika] kwa Vitendo
Mwalimu katika baadhi ya vikao na baadhi ya Mawaziri kama vile Mzee Rashid Kawawa na alie simama ni George Kahama.