Mwalimu Julius Nyerere alikuwa nabii

Inanisikitisha zaidi kuona chama alichokianzisha nyerere mwenye kinaiweka nchi rehani na ktk hali mbaya mno, ingefaa kiwe ndo kinara wa kuikomboa nchi yetu
 
Nabii hawezi kuwa muuaji. Nyerere aliwapoteza wengi waliompinga.
 

Naungana na vonix mia kwa mia kwan nyerere alikuwa mshirikina hata alivyokufa kule butiama kwenye kaburi lake yalitokea manyani ya ajabu na milio ya ajabu mpaka maaskari walinzi wakakimbia,hana lolote la unabii nyerere ni mlozi mkubwa na tapeli kwani alikataza watu wasiwe na tv ,tv anayo mwenyewe ikulu kesho anaitisha mikutano na kuwaambia wananchi ameona nchi fulan itatokea vita kumbe yeye kashaona kideoni sasa huo ndio unabiii ?

Wakati wa kuchangia kwenye thread kama hizi jaribu kuzuia jaziba na prejudices ili ueleweke.Usiingize chuki yako ili kuahararishaa upofu wako. Kama nchi nzima haikuwa na mtandao wa tv hivi yeye alikuwa ananasa tv toka wapi? Kaulize waliokuwa wanaishi karibu naye au Ikulu ili upate uhakika wa mambo si uzushi unaoleta hapa. Tukubali capacity alokuwa nayo ya kusikiliza attentively na kupeleka ujumbe kwa watu wake. Leo na tv zote na internet mbona watu kama nyie mnashindwa kujifunza na badala yake mnaishia kuangalia picha za ngono na kuishia kutoa mambo yasiyokuwa na mashiko? Tumia brain kutoa hoja kama mtu aliyeona kuta za madarasa
 
Well said mkuu!

Wanaotaka kutulisha maneno yakuwa mwl alikuwa failure watuambie kwa facts alishindwa nini na wapi kisiasa kiuchumi na hata kijamii? Nami nitawaambia alifanikiwa vipi katika nyanja zote hizo....Mwl angekuwa katika dunia ya wenzetu sifa zote za Brutland waziri mkuu wa Norway zingeenda kwake...Aliyeweza kui alert dunia development principles wanazotumia siyo sustainable na wasipoangalia maisha yatakoma....

Ukisoma kitabu cha Hanna et al cha 1996 kuhusu institutions na ukasoma kazi za Ostrom Elinor; Williamson O; North Dowglass scholars wa Institutions na New Intitution Economics, wote hawa wanaelezea concept sahihi za Azimio la Arusha na scholarly articles za Mwl za Ujamaa tofauti ni kuwa hawa wengine ni wanataaluma na yeye akiwa mwanasiasa mweusi anayetakiwa kutawaliwa kiakili ili aendelee kuwa tegemezi! Hata recent work za Lans Bovernberg na Rud de Mooij wa Harvard utaona concept za Mwl zikiwa valid...Hii ni kwa upande wa theory za uchumi na maendeleo.

Ukija kijamii mwl alifanikiwa kuiunganisha jamii yetu hata tukawa na sauti mmoja inapokuja kwenye maswala ya kitaifa kuanzia watoto, vijana hadi wazee; social capital was very high kiasi kwamba imani hiyo aliyoijenga ndiyo ambayo mpaka sasa hawa mafisadi wanaringa nayo kuaptia kura kwani wengi wa watu wazima na wazee bado wanayo inside their heart.

Kiuchumi jaribu kuangalia by the time anang'atuka gap between the poor na the rich ilikuwa kiasi gani; primary school enrolment ilikuwa % ngapi na drop outs pia ni kiasi gani; Idadi ya wataalamu kulingana na ratio yake kwa population iliyokuwapo wakati huo (msije na absolute numbers no bali relative number) in terms of no. of Drs; school teachers; number of schools; hospitals na hata child mortality pia ambao walipata chanjo muhimu. Angalia GDP na GDP per capita ilikuwa kiasi gani anaglia employment ni % ngapi ilikuwa employed kuanzia viwanda; mashamba ya ushirika; mashamba makubwa; etc. Angalia export ilikuwa kiasi gani na mwisho angalia deni la nje lilikua sh. ngapi pamoja na mambo mengi ya siasa za nje kama majeshi yetu nje ya nchi; tume train viongozi wa ngapi wa bara hili na mengine mengi.

Haya ni yale yaliyomo kichwani mwangu sasa fikiria nikianza kuvitafuta si nitajaza pages za mafanikio yake Kisiasa, kiuchumi na kijamii? Leta hapa ya Rais mwingine yeyote wa Tanzania ulinganishe na yake one by one uone kulivyo na gap kubwa!

Si amini macho yangu at long last my dream of restoring mwl legacy is on...Ilikuwa kama naota vile; I trained myself, I refused to be part ya ufisadi hata pamoja na temptations zote nilizokumbana nazo (thanks holy spirit for the gift of patience and perseverance), yes!...Nikafanikiwa kwenye awareness raising kwa vijana wenzangu, kisha nikafanikisha kuweka madarakani kiongozi wa my own desire sasa niambie kwa hatua hizi ambazo zimeanza kuchukua tambo nani wa kuizima ndoto yangu hii? Atakayeweza ni yule tu ambaye anaweza kumrudisha Yesu Kristo Bwana wa wote kaburini kwa mara ya pili...

kwa hakika is not by mighty or power neither position but through holyspirit the wisdom of all the times, father of creation, man of battle, acient of days, I am who I am, glorious King, ooh! Nakuabudu Mungu wangu wa mbinguni kwa lugha zote za wanadamu na malaika katika jina lako kuu na takatifu, baba sifa zako zivume na mimi nizidi kupungua...Najua kwahakika mambo yote yatapita lakini neno lako litasimama liilete lile kusudi lilotumwa kwalo nalo hili dnilo agano langu na wewe ya kuwa kwahakika Tanzania njema ni lazima akubali au kataye mwanadamu awaye yote.

And as if is not enough for the first time I will present the synthesized ideas to re-initiate the mwl's phylosophy in practice... kuanzia hapo utakuwa kama moto kwenye shamba la mabua...Waooo you know what is my name? Ni lile tofali lilosahaulika ambalo baadaye ndilo huja kukamilisha ujenzi kwani bila hilo hakuna fitting nzuri...Rafiki yangu kule uliko ambaye tumeota pamoja kwa muda mrefu we are on, put your house in order, its happening very fast than I thought...

The truth never dies even when its burried...

Very excited!
 
Back
Top Bottom