Sasa mnashangaaa!! Kwakweli walimu wetu wanafanya kazi kwenye mazingira magumu. Kama wewe ni mwalimu usiombe ukahamishiwa sehemu za Kigoma, Sumbawanga na Bariadi ole wako ujaribu kumpa adhabu yoyote ile mwanafunzi.
hiyo ya Tanga hata mimi nimewahi kusikia....tena kifuu kikikuuliza ukijifanya mkaidi.....basi mbele unakuta umezungukwa na bahari huna pa kutokea....duh.....Mkandara hebu kuja sawazisha mambo hapa.....
Ndugu yangu Tanzania ni kubwa sana na si hiyo unayoifahamu wewe ya kuishi mijini tu. mkielezwa yanayowatokea wenzenu mnabisha lakini hampo tayari kwenda kuvaa uhusika katika eneo husika ili kuhakikisha kama yapo au la
Ndugu yangu Tanzania ni kubwa sana na si hiyo unayoifahamu wewe ya kuishi mijini tu. mkielezwa yanayowatokea wenzenu mnabisha lakini hampo tayari kwenda kuvaa uhusika katika eneo husika ili kuhakikisha kama yapo au la
hii isije ikawa kama story za huko Ukerewe......ukitandika mtoto wa watu unashangaa wakati unaoga mamba anakuibukia kwenye beseni.....eti nyie wakerewe....ni kweli haya.....?
natamani hao wanga wamfanyie jk wa pili, anamka asubuhi anajikuta yupo feri.
Natamani hao wanga wamfanyie jk wa pili, anamka asubuhi anajikuta yupo feri.
kama huyu anayejifanya mjuaji lazima ajikute mdomo wake wamegeuza choo cha shimo,mtu anakunya anajitawazia bunzi la mahindi ndio ataijua dunia.
Bhana! huyo wamemuonea huruma sana. mimi nimemalizia lindi form 6 mwaka huu, huo mkoa ni noma.. Kuna eneo wanaita shimo la mungu, huko wanatambikia mizimu mvua zinakuja, madem wa huko wanapiga limbwata balaaa. Yaani hayo mambo ya kawaida tu. Mbona kuna ticha alikuta ana viungo vya uzazi vya mwanamke kisa kamchapa mtoto wa watu!
we preta unawchunguza mpaka wakwe utakosa mume shauri yakooo.... hahahaha duh mamba kwenye beseni... bac maji ya kuoga nitakuwa nayaweka kwenye chupa ya soda napanga kama kreti 10 hv.. tuone sasa
bunzi!??? Ndo nini?
Kwani Mkandara anatokea Ukerewe????????hiyo ya Tanga hata mimi nimewahi kusikia....tena kifuu kikikuuliza ukijifanya mkaidi.....basi mbele unakuta umezungukwa na bahari huna pa kutokea....duh.....Mkandara hebu kuja sawazisha mambo hapa.....