Mwalimu Afungwa Maisha Kwa Kulawiti

Babuji

Senior Member
Nov 27, 2008
197
3
MAHAKAMA ya Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara imemhukumu mwalimu wa Shule ya Sekondari Basstu aitwae Renatus Massy [29] kifungo cha maisha jela kwa kupatikana na kosa la kulawiti mtoto wa miaka nane.

Mahakama hiyo ilimhukumu mwalimu huyo kwa kuridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka na bila kuwa na shaka na ushahidi huo.

Katika kesi hiyo upande wa mashitaka ulikuwa ukiongozwa na mwendesha mashitaka, Athumani Mkilindi huku ikisikilizwa na kutolewa hukumu na Hakimu Joseph Kimaro wa Mahakama hiyo.

Hakimu Kimaro kabla ya kutoa hukumu hiyo alimtaka mshitakiwa kujitetea ili asipewe adhabu kali na mshitakiwa alijitetea kuwa: “Naomba nipunguziwe adhabu kwa kuwa hili ni kosa langu la kwanza na nina familia kubwa inayonitegemea hakimu naomba nipewe adhabu ndogo sitarudia tena” alijitetea hivyo mwalimu huyo mbele ya hakimu Kimaro.

Hakimu Kimaro hakuridhika na utetezi wake na kumuamuru akatumikie adhabu ya kifungo hicho cha maisha ili iwe fundisho kwa wengine wenye tamaa za kijinga kama zake.

Awali ilidaiwa kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Mei 25, mwaka jana, majira ya saa 10 jioni, nyumbani kwa shangazi yake mshitakiwa alikokwenda huko Wilayani Hanang.

Ilidaiwa kuwa mshitakiwa alipokwenda hapo alimkuta mtoto huyo [jina kapuni] akicheza na wenzake nje ya nyumba hiyo na kumchukua kuingia nae chumbani na kumbana pumzi na kuanza kumlawiti bila hata chembe ya huruma.

Baada ya kutimiza azma yake hiyo mshitakiwa alikimbia na kumuacha mtoto huyo akipiga kelele kali na watu kukimbilia na kumkuta amefanyiwa kitendo hicho cha kinyama.

Mtoto huyo alikimbizwa hospitali kupatiwa matibabu na mshitakiwa alikamatwa siku hiyo hiyo akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake.

Source: nifahamishe.com
 
Huyu wange muhanisi tu ndo dawa, lakini huko jela atakutana nao watakao mgeuza nayeye. Ushetani mtupu!
 
Ni upotezaji wa pesa za walipa kodi zikiwemo za wazazi wa huyu mtoto machungu juu ya machungu kwa wazazi na huyo kijana,


Justice Yemen-style: Paedophile who raped boy, 11, shot in the head in front of hundreds of spectators
By Tamara Cohen
Last updated at 3:14 PM on 07th July 2009

This is criminal justice, Yemen style. A man accused of raping and murdering an 11-year-old boy is paraded through his home town before being shot dead by an executioner.
Hundreds of onlookers lined the streets to watch the gruesome scene, cheering and shouting abuse at Yehya Hussein al-Raghwah.

The boy, Hamdi al-Kabas, had reportedly come into his shop for a haircut last December during the Muslim festival of Eid. After brutally attacking him, the barber cut his body into pieces and dumped them outside the capital Sana'a.

Enlarge Yemenis gather to watch a Yemeni soldier execute a man, lying face down on a large piece of red cloth, his hands bound behind him
He was given the death penalty by a Yemeni court a month later after apparently admitting his crime.

Shocking images of his final moments were released following the execution yesterday.

First he leaves the city's central prison, handcuffed and dressed in white robes. Fear etched on his face, he is surrounded by soldiers as he is led towards a ceremonial red carpet.

He is allowed to say a final prayer, his shirt is then ripped open before he is laid face down.

As a police official reads out his sentence for the last time, a doctor oversees his treatment and crowds - which appear to include children - jeer and punch the air, some filming his final moment on their mobile phones.

Enlarge Enlarge Yahya Hussein al-Raghwah prepares himself before the execution


Enlarge Yemeni police officers, accompanied by a doctor, left, place al-Raghwah face down prior to his execution in front of the central prison in San'a
A soldier brandishes his machine gun at the nape of the barber's neck, and within a split second it is all over. His death brings the number of executions in the country this year to nine.

Yemen is one of 59 countries which retains the death penalty, and one of its most prolific users, according to Amnesty International.

It is deployed for a variety of violent and non-violent crimes including apostasy and adultery.

Last year Yemen executed 13 people, according to those Amnesty has verified. But as no official figures are released the real toll could be far higher.

All of those died by firing squad but in recent years there have been reports of stonings and beheadings.

The deeply religious desert country has a poor human rights record and it is unclear if the barber had a fair trial.

Under sharia law, which applies in Yemen, relatives of the victims of certain categories of murder have the power to pardon the offender in exchange for compensation, grant a pardon freely or request his or her execution.
Enlarge The executioner prepares to shoot al-Raghwah in the back of the head
 
haki imetendeka ila na watu wawe na huruma kwa sababu wengi wamehukumiwa vifungo kama hivyo lkn bado matukio hayo yapo
 
Back
Top Bottom