snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,707
- 23,636
hapa unamfunda kiaina zote ashindwe yeye kuutumia tu, akitoka hapo lazima awe mkwe wetu atembee na bastola lol!
ahahahaahhah hala hala kesi staki mie!manake utamu wa mtoto wa kike mashalau kama Madame B af akiongeza ma mafundo ya makungwi siye plus na ujanja wake wa mjini hapa mbona baba wa watu namuonea huruma !
Last edited by a moderator: