Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Status
Not open for further replies.
Yaani kwa jinsi ninavyo fuatilia mafisadi hawa, hadi naogopa. Yaani wamekuwa macho makavu kiasi kucheza na pesa za walalahoi kiasi hicho. Kawaida wavuja jasho wakimkamata mwizi kaiba simu, au kuku mtaani, ni mafuta ya taa, tairi shingoni kuenda mbele. Sasa hawa jamaa ushahidi uko wazi wamekula mabilioni kibao ya wavuja jasho. kama hamuwezi kuwahukumu watoeni kwa wavuja jasho mbona sheria huko zinatafuta waharibifu? Ooh kiliwaa kikawa, kikaenda kikarudi mpaka lini?
 

Ipi ni kweli katika huu mkataba $83 million au $173million?

Richmond USA wao wanasema walisaini mkataba wa $83 milion, lakini huku bongo serikalini ina mkataba wa $173 million, Hii tofauti ya milioni $90 imeenda wapi hata kama deal ni feki?

Kwa nini serikali imelikalia kimya bila kupeleleza hii deal licha ya makosa ya wazi kuanzia bei mpaka kampuni yenyewe kuwa nje-nje?

Ili mtu aelewe kinachofanyika hapa ni lazima kwanza utofautishe haya majina yafuatayo:-

1. Richmond Development Company LLC ya Houston Texas
2. Richmond Development Company (Tanzania) Ltd.
3. RDEVCO Ltd.
4. Dowans Holdings ya Afrika Kusini.
5. Dowans Holdings ya United Arab Emirates
6. Dowans Tanzania.

Tunatakiwa tuzingatie vipengele kumi tunapozungumzia hii Dowans.

1. Ni kampuni ipi iliyoingia mkataba na Tanesco na lini ?
2. Ni kampuni ipi iliyoanza kutekeleza mradi na lini ?
3. Ni kampuni ipi iliyorithi kampuni nyingine na lini ?
4. Kampuni ipi iliyopokea malipo ya kwanza ?
5. Kampuni ipi iliyosafirisha mitambo kwa ndege na kutoka wapi na lini ?
6. Kampuni ipi ambayo kila mwezi ilikuwa inalipwa mamilioni ?
7. Kampuni ipi mkataba wake ulivunjwa rasmi na lini ?
8. Ni kampuni ipi iliyofungua kesi huko majuu Ufaransa na lini ?
9. Kampuni ipi ilitangaza tenda ya kuuza mitambo na tarehe gani ?
10. Kampuni ipi ilikuwa ilipwe kama biashara ingefanikiwa ?

Kuna wengine wanasema hatuhusiki, wengine hatujapokea hata senti tano, wengine, wengine tulisafirisha mitambo kwa ndege kutoka USA na mara Afrika Kusini - mradi mkanganyiko.
:confused:Hebu tusaidiane kutafuta data...tarehe ni muhimu sana :confused::rolleyes:
 
Makaa ya Mawe,
Ninavyoelewa mimi, hata kama Richmond ingelipwa $83million, kulikuwa na mikono ya watu pale Tanzania ambayo ingepokea zile $90 millioni zilizobaki. Ukizingatia ununuzi wa reda, ndege ya rais, na makorokoro mengi yaliyofanywa Bongo serikali hutoa hela nyingi kwa kila kitu kinachonunuliwa nje kulinganishwa na thamani yake.
 
Makaa ya Mawe,
Ninavyoelewa mimi, hata kama Richmond ingelipwa $83million, kulikuwa na mikono ya watu pale Tanzania ambayo ingepokea zile $90 millioni zilizobaki. Ukizingatia ununuzi wa reda, ndege ya rais, na makorokoro mengi yaliyofanywa Bongo serikali hutoa hela nyingi kwa kila kitu kinachonunuliwa nje kulinganishwa na thamani yake.

.......Vithlani wa hili dili sijui ndio nani tena.........
 
Cry mi beloved country!!!!!!!! Mwendo huu tutafika kweli????????? Unajua kinachonishangaza sisi watanzania longo longo mingi sana. Hebu jamani tukumbuke ile scandal ya maziwa ya watoto China. Ndani ya miezi takribani minne culprits wakajulikana, kesi zikaendeshwa na hukumu kutolewa. Na kuanzia hapo kimya huisikii tena habari hiyo.

Lakini sisi mambo yaa 2006 MPAKA LEO HATA COURT PROCEEDINGS BADO!!!!!!!!!!

So who is fooling who?
 
Ili mtu aelewe kinachofanyika hapa ni lazima kwanza utofautishe haya majina yafuatayo:-

1. Richmond Development Company LLC ya Houston Texas
2. Richmond Development Company (Tanzania) Ltd.
3. RDEVCO Ltd.
4. Dowans Holdings ya Afrika Kusini.
5. Dowans Holdings ya United Arab Emirates
6. Dowans Tanzania.

Tunatakiwa tuzingatie vipengele kumi tunapozungumzia hii Dowans.

1. Ni kampuni ipi iliyoingia mkataba na Tanesco na lini ?
2. Ni kampuni ipi iliyoanza kutekeleza mradi na lini ?
3. Ni kampuni ipi iliyorithi kampuni nyingine na lini ?
4. Kampuni ipi iliyopokea malipo ya kwanza ?
5. Kampuni ipi iliyosafirisha mitambo kwa ndege na kutoka wapi na lini ?
6. Kampuni ipi ambayo kila mwezi ilikuwa inalipwa mamilioni ?
7. Kampuni ipi mkataba wake ulivunjwa rasmi na lini ?
8. Ni kampuni ipi iliyofungua kesi huko majuu Ufaransa na lini ?
9. Kampuni ipi ilitangaza tenda ya kuuza mitambo na tarehe gani ?
10. Kampuni ipi ilikuwa ilipwe kama biashara ingefanikiwa ?

Kuna wengine wanasema hatuhusiki, wengine hatujapokea hata senti tano, wengine, wengine tulisafirisha mitambo kwa ndege kutoka USA na mara Afrika Kusini - mradi mkanganyiko.
:confused:Hebu tusaidiane kutafuta data...tarehe ni muhimu sana :confused::rolleyes:

Huu mwaka, na utandawazi, tutamkoma nyani giladi tu. No stone will be left unturned! Mwenye baadhi ya majibu haya atusadie tuweze kuoanisha vipande.
 
Msiwe na wasiwasi.. kuna kundi la watu ambao wanakesha kuunganisha vipande vipande vya habari hii. Wanafanya kile ambacho kingefanywa na DCI, DPP, na TISS.. Natumaini kuanzia wiki ijayo mwali ataanza kutolewa.. hili la Dowans kama nilivyosema muda mrefu uliopita ni lazima lifikie mwisho.

Hatuwezi kucheza mduara kwenye hili bonde la kashfa huku tukitegeana kama wanaocheza kioo, kioo!
 
Msiwe na wasiwasi.. kuna kundi la watu ambao wanakesha kuunganisha vipande vipande vya habari hii. Wanafanya kile ambacho kingefanywa na DCI, DPP, na TISS.. Natumaini kuanzia wiki ijayo mwali ataanza kutolewa.. hili la Dowans kama nilivyosema muda mrefu uliopita ni lazima lifikie mwisho.

Hatuwezi kucheza mduara kwenye hili bonde la kashfa huku tukitegeana kama wanaocheza kioo, kioo!
MKuu MKJJ kuna nini katika cheche this week??...Maana kama nitahitaji kwenda kubadilisha miwani basi nifanye na mapema???
 
.......Vithlani wa hili dili sijui ndio nani tena.........

Kwa hili wako wawili Zitto Kabwe na Idirisa Rashid na waziri kama kwenye rada ni William Ngereja na kama ilivyokuwa kwenye radana ndege ya rais mkuu wa nchi kwa makusudi kabisa anaangalia tu mchezo huu mchafu
 
Msiwe na wasiwasi.. kuna kundi la watu ambao wanakesha kuunganisha vipande vipande vya habari hii. Wanafanya kile ambacho kingefanywa na DCI, DPP, na TISS.. Natumaini kuanzia wiki ijayo mwali ataanza kutolewa.. hili la Dowans kama nilivyosema muda mrefu uliopita ni lazima lifikie mwisho.

Hatuwezi kucheza mduara kwenye hili bonde la kashfa huku tukitegeana kama wanaocheza kioo, kioo!

Matokeo ya kazi hiyo yataikisa nchi na kwa kweli hii itakuwa mwisho wa mwanzo wa huyu mdudu Dowans/Richmond, walitufanya Watanzania mabwege
 
Msiwe na wasiwasi.. kuna kundi la watu ambao wanakesha kuunganisha vipande vipande vya habari hii. Wanafanya kile ambacho kingefanywa na DCI, DPP, na TISS.. Natumaini kuanzia wiki ijayo mwali ataanza kutolewa.. hili la Dowans kama nilivyosema muda mrefu uliopita ni lazima lifikie mwisho.

Hatuwezi kucheza mduara kwenye hili bonde la kashfa huku tukitegeana kama wanaocheza kioo, kioo!

Nitajaribu kujibu mawili matatu:-
1. Kampuni iliyosign mkataba wa $172.5million na Tanesco June 23 2006 ni Richmond Development Company LLC ya Houston Texas, lakini ikashindwa - when the company failed to secure a guarantor to obtain a letter of credit from a commercial bank to implement the project.
2. Kampuni ya Richmond Development Company (Tanzania) RDC iliandikishwa na BRELA tarehe July 12, 2006 na kupewa Certificate of Incorporation No. 57014.
3. September 12, 2006 Kampuni ya RDC ilipewa letter of credit na CRDB na October 8, lakini ikatangaza kushindwa kusafirsha mitambo kwa ndege kama ilivyoahidi. Baada ya Hazina kutoa $10m (Sh12.5b at the time), RDC October 20, ilisema sasa ingeweza kusafirisha hiyo mitambo kutoka US.
4. To buy time na baada ya kuzuga zuga RDC iliwasiliana na Dowans Holdings ya Afrika Kusini Decmber 17, 2006 iinusuru isiweze kunyang'anywa tenda kama ilivyowahi kunyang'anywa tenda la bomba la mafuta.
5. Kampuni iliyonunua RDC ilikuwa ni Dowans Tanzania kupitia Dowans Holdings ya Afrika Kusini lakini baada ya hapo ikaja kuuza hisa zake kwa Dowans Holdings United Arab Emirates. Hii ina maana kwamba Dowans haikuirithi Richmond Development Company LLC ya Houston Texas bali RDC Tanzania.

My take:
1. Rostam ana haki kusema haijui Richmond Development Company LLC ya Houston Texas - yeye ni RDC Tanzania.
2. Mohamed Gire ana haki kusema hakulipwa fedha zozote - iliyolipwa ni Richmond Development Company (Tanzania)
3. Uhamishaji wa mkataba kutoka RDEVCO badala ya Richmond Development LLC kwenda Dowans Tanzania Ltd haukuwa halali kwa sababu mkataba wa awali ulikuwa baina ya Richmond Development Company LLC na Tanesco na siyo na REDVCO na Tanesco.
4. Kwa sababu hii mashtaka dhidi ya Naeem Gire ni usanii mtupu na Mohamed Gire hawezi kushtakiwa - kwa kosa gani ?
5. Nina wasi wasi aliyefungua kesi Ufaransa ni Dowans Holdings ya United Arab Emirates lakini tunayegombana naye hapa ni Dowans Tanzania.

Masikini watanzania - tumekuwa kichwa cha mwendawazimu. We are being taken round in circles - usanii, usanii !! Haya yote ni mawazo yangu binafsi, inawezekana nimekosea katika hitimisho - naomba nisahihishwe.
 
Mag3 umeenda vizuri sana.. hasa hiyo no. 5 ila swali: Kwanini unafikiri/unaamini kuna kampuni huo UAE inayoitwa Dowans Holdings?
 
.......Vithlani wa hili dili sijui ndio nani tena.........

Nitajaribu kujibu mawili matatu:-
1. Kampuni iliyosign mkataba wa $172.5million na Tanesco June 23 2006 ni Richmond Development Company LLC ya Houston Texas, lakini ikashindwa - when the company failed to secure a guarantor to obtain a letter of credit from a commercial bank to implement the project.
2. Kampuni ya Richmond Development Company (Tanzania) RDC iliandikishwa na BRELA tarehe July 12, 2006 na kupewa Certificate of Incorporation No. 57014.
3. September 12, 2006 Kampuni ya RDC ilipewa letter of credit na CRDB na October 8, lakini ikatangaza kushindwa kusafirsha mitambo kwa ndege kama ilivyoahidi. Baada ya Hazina kutoa $10m (Sh12.5b at the time), RDC October 20, ilisema sasa ingeweza kusafirisha hiyo mitambo kutoka US.
4. To buy time na baada ya kuzuga zuga RDC iliwasiliana na Dowans Holdings ya Afrika Kusini Decmber 17, 2006 iinusuru isiweze kunyang'anywa tenda kama ilivyowahi kunyang'anywa tenda la bomba la mafuta.
5. Kampuni iliyonunua RDC ilikuwa ni Dowans Tanzania kupitia Dowans Holdings ya Afrika Kusini lakini baada ya hapo ikaja kuuza hisa zake kwa Dowans Holdings United Arab Emirates. Hii ina maana kwamba Dowans haikuirithi Richmond Development Company LLC ya Houston Texas bali RDC Tanzania.

My take:
1. Rostam ana haki kusema haijui Richmond Development Company LLC ya Houston Texas - yeye ni RDC Tanzania.
2. Mohamed Gire ana haki kusema hakulipwa fedha zozote - iliyolipwa ni Richmond Development Company (Tanzania)
3. Uhamishaji wa mkataba kutoka RDEVCO badala ya Richmond Development LLC kwenda Dowans Tanzania Ltd haukuwa halali kwa sababu mkataba wa awali ulikuwa baina ya Richmond Development Company LLC na Tanesco na siyo na REDVCO na Tanesco.
4. Kwa sababu hii mashtaka dhidi ya Naeem Gire ni usanii mtupu na Mohamed Gire hawezi kushtakiwa - kwa kosa gani ?
5. Nina wasi wasi aliyefungua kesi Ufaransa ni Dowans Holdings ya United Arab Emirates lakini tunayegombana naye hapa ni Dowans Tanzania.

Masikini watanzania - tumekuwa kichwa cha mwendawazimu. We are being taken round in circles - usanii, usanii !! Haya yote ni mawazo yangu binafsi, inawezekana nimekosea katika hitimisho - naomba nisahihishwe.

Hata kama ni mawazo yako uliyosema yote yana mantiki kwa sana tu. Bravo Mag3
 
Mag3 umeenda vizuri sana.. hasa hiyo no. 5 ila swali: Kwanini unafikiri/unaamini kuna kampuni huo UAE inayoitwa Dowans Holdings?

Mwanakijiji, hapa ndipo kwenye utata. Kampuni inajulikana kama Dowans Holdings S.A of the United Arab Emirates. Hawa wezi wetu wanaona mbali sana - naamini haya yote yalianzia Tz yakasukwa UAE yakahamia US na sasa yataishia huko huko UAE. Inaitwa Tanzania-Dubai connection. Mipango ya kununua mitambo ya Richmond ilianza zamani na ilijulikana itanunuliwa baada ya mkataba kwisha, period - na si sababu ya dharura sasa hivi.

Hebu tujikumbushe kidogo hapo nyuma:-

Government to buy Richmond plant?

Source : This Day
Posted by: Yeboyebo on 18-Nov-2007


THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

A SERIOUS proposal is now in the wind that the government could very well end up ultimately buying the 100-megawatt, gas-to-electricity power plant from Richmond/Dowans after the expiry of the hugely controversial two-year lease contract entered into mid-last year.


Apart from raising serious queries about the manner in which the 172.9bn/- contract was awarded to Richmond Development Company, the state-run Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) has also highlighted the possibility of the government itself purchasing the plant in the near future.

The US-registered Richmond company, whose contract with the government and the Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) was last December taken over by Dowans Holdings S.A of the United Arab Emirates, has installed and operational gas-powered turbines stationed at Ubungo in Dar es Salaam.


''There are proposals now that the (Richmond/Dowans) power plants be sold to the government after the two-year lease period,'' the PPRA stated in its August report on the Richmond power deal.

Speaking in parliament this week, the Minister for Energy and Minerals, Nazir Karamagi, said it could be more cost-effective for the government to buy its own power generators, compared to leasing the plant from Richmond as is the case currently.

According to Karamagi who was responding to queries from MPs in the House, it would be cheaper for the government to have its own power plants during ''crisis situations.''

Although the minister made no mention of the government's intention or otherwise to buy the plant from Richmond after the expiry of the lease agreement, various sources within government circles have strongly hinted at the possibility of the turbines being eventually handed over to TANESCO.

This is despite the government being so far unsuccessful in its attempts to buy the $123m, also 100MW Independent Power Tanzania Limited (IPTL) thermal power generating plant at Salasala on the outskirts of Dar es Salaam from its Malaysian owners.


Amongst MPs whose comments in the House led to Karamagi's somewhat guarded response, was Mohamed Juma Mnyaa of Mkanyageni Constituency, representing the opposition Civil United Front (CUF).

Mnyaa, the current shadow minister for energy and minerals, demanded an explanation as to why the government did not purchase its own power turbines as a possibly cheaper option than leasing the plants from Richmond.


The opposition legislator raised the query hardly a day before being named by House Speaker Samuel Sitta in the new parliamentary probe committee on the Richmond deal

He asserted that the government could have spent just $36m to buy its own 100MW capacity turbines, instead of entering into the expensive $175m contract with Richmond.

The five-member Bunge probe team has been given until December 15 this year to conclude its work under a set of six terms of reference issued by the Speaker to serve as a guideline.

According to committee chairman Dr Harrison Mwakyembe, the work has already started and the first order of business would be to examine all documentation related to the lease agreement, before summoning relevant people for questioning.

Walafi walikwishapanga dili zamani tu. Walijua UCHAGUZI upo 2010
 
Mag3.. keep walking, whistle along the way.. hili la Dowans tutalimaliza wiki ijayo. Mwali atatolewa nje!! Nashukuru kwa unachofanya kwani inasaidia sana kuweza kujaza mapengo yote... kuna vitu vichache tu vimebakia na kuzungumza na watu wawili watatu and then boom!
 
Mag3.. keep walking, whistle along the way.. hili la Dowans tutalimaliza wiki ijayo. Mwali atatolewa nje!! Nashukuru kwa unachofanya kwani inasaidia sana kuweza kujaza mapengo yote... kuna vitu vichache tu vimebakia na kuzungumza na watu wawili watatu and then boom!

Mkuu nina wasiwasi wanaweza wao wakafunika halafu hii harufu uliotupatia ikawa na kinyaa. Yaani wanaweza wakafanya la kufanya ili tutaharuki e.g. ukisikia Ngereja na Rashid no longer in power and then RA yuko detained Keko
 
Mkuu nina wasiwasi wanaweza wao wakafunika halafu hii harufu uliotupatia ikawa na kinyaa. Yaani wanaweza wakafanya la kufanya ili tutaharuki e.g. ukisikia Ngereja na Rashid no longer in power and then RA yuko detained Keko

Kwa ufupi ni kuwa hakuna wanachoweza kufanya kuzuia mwali kutolewa!
 
Hivi kweli kuna siku tutaamka asubuhi tukute breaking news RA kapelekwa kisutu halafu katupwa keko? What a wonderful day in the history of mother Tanzania! Siku hiyo ndio itakuwa ni siku ya uhuru wa kweli wa Tanzania! Sio wa bendera tena! Na ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa genge la mafia kuitawala TZ! Nchi itarudi mikononi mwa wananchi!!!!
 
Kwa ufupi ni kuwa hakuna wanachoweza kufanya kuzuia mwali kutolewa!

Wakati tukijadili Dowans inabidi pia tuitupie macho AGGREKO kampuni ya Kiingereza (Scotland) inayotengeneza mitambo ya kufulia umeme. Ni kitu gani kilituzuia tusiwasiliane moja kwa moja nao - instead tukawapa tenda wakala wao UAE. Kuna nini Dubai ?
TANESCO, the company responsible for generating and distributing electricity to customers in Tanzania and Zanzibar, awarded the contract to Aggreko due to its ability to achieve the delivery deadline and its commitment to provide 24-hour support service.

Aggreko supplied the Gas Power solution to TANESCO in two phases. Generators were transported from Aggreko International's headquarters in Jebel Ali, UAE for phase one which became operational on October 18th 2006. Equipment for the second phase was airlifted to the site from Aggreko's holding facility in Europe due to the urgent need of power locally. This enabled Aggreko to supply the full 40MW on December 7th, 10 days earlier than stated in the Emergency Supply Agreement with TANESCO. Aggreko's own in house experienced technicians and engineers installed the project in accordance to the ISO 9001:2000 audited procedures and quality standards to ensure safety and reliability. The gas supply for the project is being supplied by the Songo Songo gas field offshore Tanzania.

Dar - Dubai connection is getting thicker and thicker !! Kwa nini option ya kununua huwa haipo kwenye hizi tenda instead tunakodisha na baadaye kulazimika kununua ?
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom