dazu
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 365
- 76
Mnamo mwezi Octoba mwaka jana tulipata taarifa kupitia mtandao huu wa jf kwamba "Mbunge wa Kyela na Naibu waziri wa Miundombinu Dr Harrison Mwakyembe ametamka maneno magumu akiwa kwenye matibabu nchini India,Mwakyembe amesema akirudi salama atamwaga yote yanayomsibu bila kuficha hata nukta moja maana amechoka na hawezi kuvumilia tena..." Sasa naona ni muda mrefu tangu amerejea toka India na bado yuko kimya, vipi afya yake haijaimarika hivyo tuendelee kusubiri au amebadili mawazo?