Mwakyembe okoa jimbo lako na si kupiga soga tu

dux limit

Senior Member
Jul 28, 2015
143
55
Inasikitisha kuona umekaa katika ubunge kwa mihula mitatu lakini hadi leo wiyala inakosa barabara ya uhakika na ikiwa umepita katka wizara ya ujenzi, uchukuzi na sasa katiba.

Hivi ukiwa hujui hata haki za kikatiba za wananchi wako upasazo kuwatimizia ni vipi utaweza litimizia taifa haki za raia wake.Ulipokuwa unaomba kuchaguliwa uliahidi kuwapatia mahitaji muhimu kwa maendeleo ya wilaya kama maji safi na salama, barabara, huduma bora za afya, elimu bora nk.

Lakini kadri siku zinavyoenda ndio jimbo linazidi kuwa mji mkongwe wa kihistoria na kupoteza mvuto wa Kyela kuwa kiini cha biashara na maendeleo. Kyela ina kila kitu kuanzia ardhi safi, vyanzo vya maji na nguvu kazi ya kutosha lakini tatizo ni kiongozi wa wananchi mwenye uwezo wa kuhamasisha maendeleo na mbunifu.
1460131781491.jpg
 

Attachments

  • 1460131050638.jpg
    1460131050638.jpg
    39.6 KB · Views: 35
Unajua ukiwakuta majukwani wanavyojitutumua na kujibu kwa dharau unaweza juwa amewatimizia kila kitu ktk jimbo lake.
 
Ingeruhusiwa kuwaadhibu wabunge ningeanza na MWAKYEMBE tena achapwe za matakoni....Kyela haina MBUNGE hata kidogo... jamaa mikogo tuuu, sijui ni msomi wa wapi mwakyembe hana hata huruma kwa jamii yake walivyo wapumbavu wana CCM wenzake wanamwita ingambako eti(ng'ombe dume) hana lolote kabisa huyo mzee ila yeye kufitinisha watu, mara hoo wanataka kuniua, hoo ugonjwa wangu nimewekewa sumu, hoo mara mkachote maji mtoni huko KIWIRA maneno ya ajabu ajabu....barabara hovyo, maji usiseme, huduma zingine hoi lkn kitaifa anavyovuma utafikiri YESU wa nazareth kumbe ni lijinga fulani tu hiviii, mbunge anashindwa kusimamia maendeleo wilayani kweli? ameshindwa hata kushawishi utawala japo kwa kichache tuuu? aaargh!!! mwakyembe huo ni upumbavu sana mzee najuo upo JF sana tu lkn washauri wako wakushauri vyema basiii...kufikia 2020 sioni cha msingi utakachokifanya MBWA WEWE
 
Unajua ukiwakuta majukwani wanavyojitutumua na kujibu kwa dharau unaweza juwa amewatimizia kila kitu ktk jimbo lake.
Nadhani wa kulaumiwa ni sisi wananchi tunaowarudisha madarakani kwa kipande cha khanga na chumvi ilihali tukijua hawana nia ya dhati kushughulika na matatizo yetu!!!!!!

Ujinga wetu ndio mtaji Wao....ngoja twendelee kuisoma namba!!!!!
 
Nadhani wa kulaumiwa ni sisi wananchi tunaowarudisha madarakani kwa kipande cha khanga na chumvi ilihali tukijua hawana nia ya dhati kushughulika na matatizo yetu!!!!!!

Ujinga wetu ndio mtaji Wao....ngoja twendelee kuisoma namba!!!!!
Kwani Mwakyembe anakusanya kodi?? Mnyika na Lissu majimbo yao yako hovyo mbona hamuongelei?
 
Inasikitisha kuona umekaa katika ubunge kwa mihula mitatu lakini hadi leo wiyala inakosa barabara ya uhakika na ikiwa umepita katka wizara ya ujenzi, uchukuzi na sasa katiba.

Hivi ukiwa hujui hata haki za kikatiba za wananchi wako upasazo kuwatimizia ni vipi utaweza litimizia taifa haki za raia wake.Ulipokuwa unaomba kuchaguliwa uliahidi kuwapatia mahitaji muhimu kwa maendeleo ya wilaya kama maji safi na salama, barabara, huduma bora za afya, elimu bora nk.

Lakini kadri siku zinavyoenda ndio jimbo linazidi kuwa mji mkongwe wa kihistoria na kupoteza mvuto wa Kyela kuwa kiini cha biashara na maendeleo. Kyela ina kila kitu kuanzia ardhi safi, vyanzo vya maji na nguvu kazi ya kutosha lakini tatizo ni kiongozi wa wananchi mwenye uwezo wa kuhamasisha maendeleo na mbunifu.View attachment 335827
Mh siamin kama hii barabara iko kwenye jimbo la waziri nimesikitika sana
 
Inasikitisha kuona umekaa katika ubunge kwa mihula mitatu lakini hadi leo wiyala inakosa barabara ya uhakika na ikiwa umepita katka wizara ya ujenzi, uchukuzi na sasa katiba.

Hivi ukiwa hujui hata haki za kikatiba za wananchi wako upasazo kuwatimizia ni vipi utaweza litimizia taifa haki za raia wake.Ulipokuwa unaomba kuchaguliwa uliahidi kuwapatia mahitaji muhimu kwa maendeleo ya wilaya kama maji safi na salama, barabara, huduma bora za afya, elimu bora nk.

Lakini kadri siku zinavyoenda ndio jimbo linazidi kuwa mji mkongwe wa kihistoria na kupoteza mvuto wa Kyela kuwa kiini cha biashara na maendeleo. Kyela ina kila kitu kuanzia ardhi safi, vyanzo vya maji na nguvu kazi ya kutosha lakini tatizo ni kiongozi wa wananchi mwenye uwezo wa kuhamasisha maendeleo na mbunifu.View attachment 335827


Picha kama hizi siyo Kyela tu. Miji yote Tanzania, mikubwa na midogo ina barabara za aina hii...Acheni majungu yenu. Halafu, wewe binafsi umefanya nini kuisaidia Kyela? Usimuuulize mwenzio, iulize pia nafsi yako, wewe umefanya nini kusaidia maendeleo ya eneo lako?
 
Mwakyembe yupo busy anshughulikia katiba ndio kipaumbele chake
 
Ingeruhusiwa kuwaadhibu wabunge ningeanza na MWAKYEMBE tena achapwe za matakoni....Kyela haina MBUNGE hata kidogo... jamaa mikogo tuuu, sijui ni msomi wa wapi mwakyembe hana hata huruma kwa jamii yake walivyo wapumbavu wana CCM wenzake wanamwita ingambako eti(ng'ombe dume) hana lolote kabisa huyo mzee ila yeye kufitinisha watu, mara hoo wanataka kuniua, hoo ugonjwa wangu nimewekewa sumu, hoo mara mkachote maji mtoni huko KIWIRA maneno ya ajabu ajabu....barabara hovyo, maji usiseme, huduma zingine hoi lkn kitaifa anavyovuma utafikiri YESU wa nazareth kumbe ni lijinga fulani tu hiviii, mbunge anashindwa kusimamia maendeleo wilayani kweli? ameshindwa hata kushawishi utawala japo kwa kichache tuuu? aaargh!!! mwakyembe huo ni upumbavu sana mzee najuo upo JF sana tu lkn washauri wako wakushauri vyema basiii...kufikia 2020 sioni cha msingi utakachokifanya MBWA WEWE
Pale alipokana kuwa hakusema kawekewa sumu ndio nilijua ni booonge la mnafiki, huyu jamaa yuko tayari kutoa kafara mtu wa familia yake ili tu kuinufaisha ccm. Poleni wana Kyela mpaka leo mnatumwa maji mtoni?! na mbunge! haaahaaaaa, kazi kwelikweli.
 
Kwani Mwakyembe anakusanya kodi?? Mnyika na Lissu majimbo yao yako hovyo mbona hamuongelei?
Punguza U-CCM Kichwani, Mada inamuhusu Mwakyembe, usipende kuficha udhaifu wake kwa kuwaingiza watu wengine. Kama Mnyika na Lissu wanamatatizo anzisha mada.
 
Back
Top Bottom