buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
mi' siongei! namsubiri 2015 jimboni, maana kama waliomchagua wapo kanisani kawe, basi atarudi bungeni 2015. huyu jamaa ni mnafiki kule kwake urambo hakuna hata rami za ndani, shule za advance ni moja tuu jimboni kwake. Wakuu! huyu 6..hatofautiani na seif khatibu ambaye jimbo lake lote mtandao uliopo ni Zantel tuu, huu ni uhuni. wasitufanye watanzania mbumbumbu, sitta hana lolote