Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
Wako na tecnologioa ya juu katika maswala ya afya kuliko bongo,Kip ur mouth shut yakikukuta utaomba michango kwa ndugu jamaa na hata marafiki kama ni harusi vile. Pole mwanaharakati wetu from the inside.Kwa nini apelekwe India wakati hospitali ya maana ya MUHIMBILI ipo?
huu ndio ufisadi wenyewe...muhimbili wa avifaa na madaktari
ikishindikana si wampeleke hapo Nairobi hospital
why India?