Mwakyembe mgonjwa afya yake yadorora; ngozi yavimba mwili mzima. Yadaiwa alitegeshewa sumu

Kama sumu hiyo inaua polepole hivyo basi ni nzuri kwasababu itamsaidia Mwakyembe kutubu dhambi zake na hivyo kuwa na uwezekano wa kuingia peponi.
 
Acha wamalizane,huwezi kukata tawi ulilokalia ukabaki salama.kujifanya unapambana na ufisadi ndani ya ccm ni unafiki wa kupindukia.
 
Mod kaitoa hatuioni ndo maana nikasema mwishoni mod aturudishie ili watz wajue serikali inachowafanyia wanamageuzi
 
RA mbaya sana, lakini mwisho wa ubaya ni aibu, vivyo hivyo JK na genge la mafia wenzake kwa mauaji haya aibu iko milangani mwenu
 
Matukio ya namna hii yameanza miaka mingi sana iliyopita, sio kwa Tanzania tu hata ulimwengu wa kwanza yapo enzi na enzi.


Alexander Litvinienko, former KGB officer, aliwekewa sumu ya polonium akafa taratibu tena kwa uhakika. Hapo ni Russia na huko kuna umafia hatari.

Anna Politkovskaya, former journalist and human right activist, alimpinga sana Vladimir Putin hasa kwenye vita ya Chechen(Chechnya), alinyamazishwa na leo ni historia.

Haya yapo, hayataisha coz dunia hii ni ya dhambi na uasi.

Tunamuombea Lissu.
 
Matukio ya namna hii yameanza miaka mingi sana iliyopita, sio kwa Tanzania tu hata ulimwengu wa kwanza yapo enzi na enzi.


Alexander Litvinienko, former KGB officer, aliwekewa sumu ya polonium akafa taratibu tena kwa uhakika. Hapo ni Russia na huko kuna umafia hatari.

Anna Politkovskaya, former journalist and human right activist, alimpinga sana Vladimir Putin hasa kwenye vita ya Chechen(Chechnya), alinyamazishwa na leo ni historia.

Haya yapo, hayataisha coz dunia hii ni ya dhambi na uasi.

Tunamuombea Lissu.
inajulikana na kila mtu kuwa Lissu ni critic mkubwa wa kile kiti kikubwa (presidency).
apparently, Lissu amesukumwa kufanya hivyo baada ya kuona kuna mismanagement na abuse.
hii ndiyo sababu pekee inayowafanya watu wawe na ujasiri wa ku-single out the "who".

sasa linganisha na hiyo mifano yako mengine kama wahanga walikuwa wanaki-attack kiti as directly and as openly as Lissu has been doing.
 
inajulikana na kila mtu kuwa Lissu ni critic mkubwa wa kile kiti kikubwa (presidency).
apparently, Lissu amesukumwa kufanya hivyo baada ya kuona kuna mismanagement na abuse.
hii ndiyo sababu pekee inayowafanya watu wawe na ujasiri wa ku-single out the "who".

sasa linganisha na hiyo mifano yako mengine kama wahanga walikuwa wanaki-attack kiti as directly and as openly as Lissu has been doing.
Nimekupa mfano wa Anna Politkovskaya, a direct critic to Vladimir Putin kwenye vita ya Chechnya. Hujaelewa chochote hapo?

Pitia link hii ya assassination za political figures huko marekani ndio utajua hakuna nchi iliyoko salama.
List of assassinated American politicians - Wikipedia
 
Back
Top Bottom