Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
CCM wauaji sana.....
Habari za ndani zinasema alitofautiana na Magufuli juu ya mradi wa barabara ya Mtwara
Acha unafiki kijana! Be yourself! Ww unaweza kusema ccm wauaji!? Au unaundugu na Mwakyembe kwahiyo nafsi inakusuta!?
Umewatetea ccm walipom'mwagia mtu tindikali, kuchoma nyumba ya m/kiti wao wa kijiji na hata katibu alipomwingilia mke wa mwanachama wake huko Igunga. Iweje leo umegeuka hivyo? Au umepata wokovu?
Halafu kutofautiana kimawazo na mwenzio mbona ni jambo la kawaida? Kutofautiana kwake na Magufuli kunahusiana nini na kupewa kwake sumu! Unataka kumuhusisha magufuli kwenye hilo?
Nina mashaka umeanza kutumiwa na wengine baada ya uchaguzi wa Igunga...! Otherwise huu ni unafiki wa hali ya juu sana.