Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
India ndo machinjioni.Law lessKwa nini apelekwe India wakati hospitali ya maana ya MUHIMBILI ipo?
huu ndio ufisadi wenyewe...muhimbili wa avifaa na madaktari
ikishindikana si wampeleke hapo Nairobi hospital
why India?
Hali yake kweli si nzuri, hii nadhani imetokea juzi au jana, nimejaribu kumtafuta kupitia simu yake lakini haikuwa ikipokelewa.
Ndugu wana JF hizi ni taarifa za uhakika kabisa, Dr. Mwakyembe Kapewa sumu amevimba mwili mzima hali ni mbaya nilipopata habari hizi walikuwa wanafanya mpango kumkimbiza India. Nitarudi nikipata habari kwa undani
Nawakilisha
Hali yake kweli si nzuri, hii nadhani imetokea juzi au jana, nimejaribu kumtafuta kupitia simu yake lakini haikuwa ikipokelewa.
Imesemwa Freemasins wao wanaamini ni lazime watawale na atakayepinga utawala wao watamuondoa na RA ni freemason, hii sasa inaelekea kuthibitisha.
India ndo machinjioni.Law less
we invizibo acha uchoyo nipe hata ka senks,likes ziwepitwa na wakati!!!!Kumbe wewe ni binadamu kama sisi!!
Kuugua ni kawaida kila binadamu anaugua.., ila hilo la sumu ndio linatisha sana.., hivyo basi ni vema akaangaliwa na kupatiwa matibabu yote, bila kusahau wachukue vipimo ili kujua ni sumu gani imetumika (kama ni kweli ni sumu) ili kesho keshokutwa waweze kujua ni kina nani alikutana nao na wapi na wakampa nini ili hao wachawi waweze kujibu kilichotokea
Rwanda kwa sababu ya mtu mmmoja?
hebu tupumzishe sie
Mbona Kigoma Malima naye alilishwa sumu na hamkusema kuwa Rwanda itatokea?
Bila kusahau IMRAN KOMBE mlimuua na maisha yameendelea kama kawaida
Ndugu wana JF hizi ni taarifa za uhakika kabisa, Dr. Mwakyembe Kapewa sumu amevimba mwili mzima hali ni mbaya nilipopata habari hizi walikuwa wanafanya mpango kumkimbiza India. Nitarudi nikipata habari kwa undani
Nawakilisha
Ndugu wana JF hizi ni taarifa za uhakika kabisa, Dr. Mwakyembe Kapewa sumu amevimba mwili mzima hali ni mbaya nilipopata habari hizi walikuwa wanafanya mpango kumkimbiza India. Nitarudi nikipata habari kwa undani
Nawakilisha
Rwanda kwa sababu ya mtu mmmoja?
hebu tupumzishe sie
Mbona Kigoma Malima naye alilishwa sumu na hamkusema kuwa Rwanda itatokea?
Mchawi akila mwanaye ,mtamfanya kitu?