Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,649
- 6,832
Akihitimisha hoja yake ya Mawasiliano na Uchukuzi amesema hakuna kujisaidia njiani hata kama unaharisha humo humo kwenye basi au chombo cha usafiri unachotumia
Basi wekeni sheria ya wenye mabasi au vyombo vya usafiri waweke vyoo kwa ajili ya abiria kujisaidia maana kuna umuhimu gani wa kupiga marafuku abiria kutochimba dawa njiani huku kuna wakati watu unakuta wengine wamekula matoke na vichuri sasa kwenye vyombo vya usafiri visiposimama ili kutoa fursa kwa yule anaehitaji kuchimba dawa afanye hivyo c wanataka watu/abiria kujisaidia kwenye vyombo hivyo
dah!kwenye kichuri hapo umenikumbusha mzee kurugumbagekorara na mamamsagane,