Wadau wanachama wenye mapenzi mema na CCM na wapiganaji wa kweli wa maendeleo ndani ya chama hicho wameanza mkakati wakumtaka Mwakyembe aombe uspika. Ila habari zisizothibika kundi zito la mafisadi halitaki kabisa kusikia habari hiyo na kama kawaida yao wanataka mtu atakeyekuwa na maslahi nao na serikali kw aujumla. Je mnaushauri gani kwa hawa wachache wanokiangamiza wenzao ndani ya CCM?