Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Tusubiri Mwakyembe mwenyewe aje na data za ukweli.. inaumiza sana nikikumbuka wakati ule alipokuwa anatoa taarifa za kutishiwa kifo. Zilikuwa so detail kuonyesha kwamba alishajua anawindwa..Na hata kufikia kumpelekea IGP ushahidi lakini hamna taarifa iliyotolewa mpaka walipofanikiwa kumpata Mzee wa watu, ndio tunaanza kupata taarifa za polisi wetu. Kwa nini hawakutoa taarifa za uchunguzi wakati ule Mwakyembe aliporipoti kutishiwa kifo.. Kufanya siasa africa kunahitaji uwe na moyo wa chuma..!
hawezi kutamka hadharani na hata akisema polisi litaishia hukohuko kwa kuwa analinda KUFA KWA CCM!! na yeye mwenyewe mkono uendelee kwenda kinywani!