Kwa taarifa hizi za ajali za meli za mara kwa mara,kuna haja ya waziri wa uchukuzi kufanya ukaguzi wa meli ya MV VICTORIA kwani taarifa zilizopo meli hii ni ya mwaka 1960 kwa sasa imekuwa haishi matengenezo na kuzimika mara kwa mara ziwani.
Naamini Mwakyembe ni mtu makini japo!
Hatutakubali kabisa kupokea rambirambi toka kwa serikali isiyo makini, na inayopeleka attention yake kusaini mikataba mipya huku ikitelekeza miundombinu mingine, maana inaonyesha kutokuwa na tija tena kwao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.