amesema asijadiliwe, then anavua kofia na gloves ili watu wamuhurumie, huyu jamaa ni MNAFIKI
There you are Msoffe, huyu jamii hakika ni mwanasi_hasa, akisemacho sicho akimaanishacho.
amesema asijadiliwe, then anavua kofia na gloves ili watu wamuhurumie, huyu jamaa ni MNAFIKI
Utashangaa sana!
Ukitaka kushangaa zaidi na kuacha mdomo wazi hadi inzi wajae mdomoni, nenda Arumeru, utakuta Mawaziri kibao wako huko kwa mwezi mzima na walishaweka makufuli maofisini kwao!
sasa kwa hali yake ilivo anaweza tena kuendelea vizuri na kazi za uwaziri?? kwa nini asiwe mzalendo akaachia hiyo nafasi ili apate muda waa kupumzika na kucheki zaidi afya yake!!yaani wapiga kura wake wanamwona huruma na kutaka kujua kilichompata mbunge wao yeye anasema waache majungu??acha afe na kamba shingoni!!
Hili sizani kama ni suala la kumlaumu mh. Mwakyembe, bali ni kumuombea kwa sababu kilichotokea na kinachoendelea kutokea kwa mh. Mwakyembe ni moja ya madhara mengi ambayo tunayaishi ikiwa ni matokeo mabaya kabisa yanayosababishwa na MAFISADI pamoja na UFISADI wenyewe. Angalia chenji ya rada hakuna mtanzania aliyehusika(rejea taarifa ya habari ya ITV 30/03/2012 usiku) kupanda holela kwa gharama za umeme, na umeme wenyewe sio wa uhakika. Vifo vya watu vinavyotokana na kutumia maji yenye sumu katika migodi mkoani Mara na migomo ya madaktari kwa kutaja machache. Kinachotakiwa kila mpenda nchi kwa nafasi yoyote aliyonayo mahali popote ahakikishe anakuwa kamanda wa kupambana na UFISADI kwa maana halisi na sio kwa kutajwa na vyombo vya habari, vinginevyo kuna siku tutajikuta tunakuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
mmmmh, umaarufu unakuja na gharama!
kusinzia bungeni!Wasira amepiga kambi tangu wakati wa kura za maoni za awamu ya kwanza na mpaka sasa bado yuko Arumeru .... huyu Mzee a huwhata sijui kazi zake ni nini.
Sio vizuri, hayo ndio majungu ambayo amesema watu waache, chukulia kama ungekuwa unaumwa wewe kisa umewekewa sumu.