MwanaHabari
JF-Expert Member
- Nov 9, 2006
- 442
- 13
watu itabidi waanze kubadilibadili viti mule ndani maana
ni zitto !!!!
ni mbunge wa bariadi ndiye aliyesahau kitu na kuomba kuingia ndani ya ukumbi.
Imani za kijinga tu hizo, aliye na hizo dawa mwambieni aje anyunyizie nyumbani kwangu. Nikiumwa nitamlipa.
Watu tunaumwa na kufa kwa makosa yetu lakini wakati wote ni kutafuta mchawi tu.
Siku tutakapojifunza na kuelewa wachawi ni sisi wenyewe shauri ya kutokujali maisha yetu labda ndio tutasalimika.
Watu unawakuta wanalala na watu ambao wamefiwa na partners wao kwa ukimwi, bado wakikumbwa wanasingizia uchawi.
..Imani za kijinga tu hizo, aliye na hizo dawa mwambieni aje anyunyizie nyumbani kwangu. Nikiumwa nitamlipa...
..Watu tunaumwa na kufa kwa makosa yetu lakini wakati wote ni kutafuta mchawi tu.
Kwa Habari Zisizo Rasmi Ni Zitto!! Mbona Mnakuwa Wazito Wa Kuelewa
bariadi magharibi
Kama sio rasmi,why are you insisting?
Tusubiri kusikia kama ni ugonjwa tu wa kawaida au WAMESHAMKOLIMBA.
Kwa Habari Zisizo Rasmi Ni Zitto!! Mbona Mnakuwa Wazito Wa Kuelewa
Usimsingizie Zitto jamani ni Vijisenti aliyonaswa na camera za Bunge tukufu. Kama Mh Mwakyembe alikuwa na BP bila kujua basi ni bahati mbaya kwa Mh. Vijisenti.