Mwakyembe arejea nchini; afya yake yaimarika

Hivi mwakyembe kwanini asiachie madaraka ili aweze kujitibu na kujipanga kupambana na fisadi lowasa na TISS
 
Katika siku za karibuni, kumekua na watu kadhaa ambao wamekua wakimzulia KIFO Naibu Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Kyela, mpambanaji Dk. Harrison Mwakyembe. Baada ya taarifa hizo, watu wa karibu na mwanasiasa huyo ambaye ugonjwa wake umehusishwa na madhara yatokanayo na sumu, wamezungumza naye mara kadhaa jana na leo na kubaini kama ni mzima na afya yake inazidi kuimarika na kuwa bora zaidi ya siku anakwenda India kwa matibabu. Mmoja wa aliyezungumza naye alisema;

"Kuna post imetumwa jamii forums kwamba dr mwakyembe amefariki sio kweli, nimeongea naye kama dk ishirini zilizopita." "Dk. Anasema kwa sasa ukimuona utashangaa maana amepata nafuu ajabu."

Moani yangu: Wana JF, Mwakyembe ni binadamu na kama kiumbe yeyote hawezi kuishi milele duniani, lakini hiyo si sababu ya kumzushia mtu mauti angali hai. Wale wote wanaofanya hivyo kwa nia mbaya wajue hakuna aliye juu ya Mwenyezi Mungu na kwamba kila nafsi itaonja mauti na tumekuja kwa udong na tutarudi kwa udongo. Taarifa za msiba hazipaswi kuwa hisia bali kutoka kwenye vyanzo mahsusi.
 
Mwakyembe is useless politician. Mnafki kama Samuel Sitta.


Ee! Wadau, huyu siyo yule kuchi-kuchi aliyekuwa nanihii kule Igunga akabwaga manyanga? Mzee nasikia unakula bata tu ughaibuni! Ishaalah, JF wanatuunganisha.
 
Hivi mwakyembe kwanini asiachie madaraka ili aweze kujitibu na kujipanga kupambana na fisadi lowasa na TISS
Jitu lenye uchu wa madaraka kama Mwakyembe aache ulaji wakati Ripoti ya kisanii ya Richmondi ilijaa visasi vya kuukosa uwaziri mkuu swahiba wake Samuel Sitta!!....
 
"Dk. Anasema kwa sasa ukimuona utashangaa maana amepata nafuu ajabu."



Praise the Lord!
 
Katika siku za karibuni, kumekua na watu kadhaa ambao wamekua wakimzulia KIFO Naibu Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Kyela, mpambanaji Dk. Harrison Mwakyembe. Baada ya taarifa hizo, watu wa karibu na mwanasiasa huyo ambaye ugonjwa wake umehusishwa na madhara yatokanayo na sumu, wamezungumza naye mara kadhaa jana na leo na kubaini kama ni mzima na afya yake inazidi kuimarika na kuwa bora zaidi ya siku anakwenda India kwa matibabu. Mmoja wa aliyezungumza naye alisema;

"Kuna post imetumwa jamii forums kwamba dr mwakyembe amefariki sio kweli, nimeongea naye kama dk ishirini zilizopita." "Dk. Anasema kwa sasa ukimuona utashangaa maana amepata nafuu ajabu."

Moani yangu: Wana JF, Mwakyembe ni binadamu na kama kiumbe yeyote hawezi kuishi milele duniani, lakini hiyo si sababu ya kumzushia mtu mauti angali hai. Wale wote wanaofanya hivyo kwa nia mbaya wajue hakuna aliye juu ya Mwenyezi Mungu na kwamba kila nafsi itaonja mauti na tumekuja kwa udong na tutarudi kwa udongo. Taarifa za msiba hazipaswi kuwa hisia bali kutoka kwenye vyanzo mahsusi.
Halisi asante kwa hili, wito kwa wana jf wa zamani, irudisheni ile jf tuliyoikuta enzi hizo na ndio jf baadhi yetu tuliojiunga nayo!.
 
Ee! Wadau, huyu siyo yule kuchi-kuchi aliyekuwa nanihii kule Igunga akabwaga manyanga? Mzee nasikia unakula bata tu ughaibuni! Ishaalah, JF wanatuunganisha.



  • user-online.png
    Nyetk
    Today 18:49







  • #22

    Senior Member Array


    Join Date : 28th February 2012

    Posts : 65

    Rep Power : 316

    Likes Received
    9
    Likes Given



 
Nasubiri weekend hii ipite ndio nitaamini taarifa hii....
Tunakuombea Mwakyembe mema....
 
katika siku za karibuni, kumekua na watu kadhaa ambao wamekua wakimzulia kifo naibu waziri wa ujenzi na mbunge wa kyela, mpambanaji dk. Harrison mwakyembe. Baada ya taarifa hizo, watu wa karibu na mwanasiasa huyo ambaye ugonjwa wake umehusishwa na madhara yatokanayo na sumu, wamezungumza naye mara kadhaa jana na leo na kubaini kama ni mzima na afya yake inazidi kuimarika na kuwa bora zaidi ya siku anakwenda india kwa matibabu. Mmoja wa aliyezungumza naye alisema;

"kuna post imetumwa jamii forums kwamba dr mwakyembe amefariki sio kweli, nimeongea naye kama dk ishirini zilizopita." "dk. Anasema kwa sasa ukimuona utashangaa maana amepata nafuu ajabu."

moani yangu: Wana jf, mwakyembe ni binadamu na kama kiumbe yeyote hawezi kuishi milele duniani, lakini hiyo si sababu ya kumzushia mtu mauti angali hai. Wale wote wanaofanya hivyo kwa nia mbaya wajue hakuna aliye juu ya mwenyezi mungu na kwamba kila nafsi itaonja mauti na tumekuja kwa udong na tutarudi kwa udongo. Taarifa za msiba hazipaswi kuwa hisia bali kutoka kwenye vyanzo mahsusi.

mpe pole mwambie mungu atamsaidia
 
Mateso uliyoyapata yanatosha. Japo ulituficha baadhi ya mambo, nimekusamehe kwa uliyotutendea na Mungu akusaidie upone haraka.
 
Katika siku za karibuni, kumekua na watu kadhaa ambao wamekua wakimzulia KIFO Naibu Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Kyela, mpambanaji Dk. Harrison Mwakyembe. Baada ya taarifa hizo, watu wa karibu na mwanasiasa huyo ambaye ugonjwa wake umehusishwa na madhara yatokanayo na sumu, wamezungumza naye mara kadhaa jana na leo na kubaini kama ni mzima na afya yake inazidi kuimarika na kuwa bora zaidi ya siku anakwenda India kwa matibabu. Mmoja wa aliyezungumza naye alisema;

"Kuna post imetumwa jamii forums kwamba dr mwakyembe amefariki sio kweli, nimeongea naye kama dk ishirini zilizopita." "Dk. Anasema kwa sasa ukimuona utashangaa maana amepata nafuu ajabu."

Moani yangu: Wana JF, Mwakyembe ni binadamu na kama kiumbe yeyote hawezi kuishi milele duniani, lakini hiyo si sababu ya kumzushia mtu mauti angali hai. Wale wote wanaofanya hivyo kwa nia mbaya wajue hakuna aliye juu ya Mwenyezi Mungu na kwamba kila nafsi itaonja mauti na tumekuja kwa udong na tutarudi kwa udongo. Taarifa za msiba hazipaswi kuwa hisia bali kutoka kwenye vyanzo mahsusi.

fully agree (110%). kumzushia mtu kifo hakuna tofauti sana na kuua au kuwa na dhamira hiyo pale nafasi ikipatikana.

sasa, kwa vile una mawasiliano na huyo jamaa anayewasiliana na mwakyembe moja kwa moja mwambie ampe ujumbe kuwa watu wengi bado tuna hasira na kitendo chake cha kutuchakachulia ile "ripoti ya richmond". so wengi tunamuombea apone haraka ili aje atueleze vizuri kilichotokea.... na kwa hili hatutanii kabisa!!

amwambie pia kuwa si wote wanaomtakia apone......ndiyo maana wapo hawa wanaomzushia kifo and you cant prevent those from doing that kwa sababu maybe that's the only way they can take a consolation from what mwakyembe & co did to us. so, jamaa yako amwambie mwakyembe kuwa asiwe na hard feelings kabisa dhidi ya hao wanaomtakia hata afe (hapa simaanishi wale wanaotuhumiwa "kum-poison" bali wale waliojeruhiwa na uchakachuliwaji wa "ripoti ya richmond"!)
 
Halisi asante kwa hili, wito kwa wana jf wa zamani, irudisheni ile jf tuliyoikuta enzi hizo na ndio jf baadhi yetu tuliojiunga nayo!.

kweli Pasco,sasa hivi makapi yamekuwa mengi! Lkn pia naona itakuwa ngumu kidogo maana JF sasa imefahamika zaidi na yanaingia makundi ya aina mbali mbali! Halisi asante kwa taarifa Mungu azidi kumrejesha Mwakyembe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom