Kaka,
Uko serious? Hizo data ni za JamiiForums?
Mkuu wangu hawa watu wanaopata madaraka yakawalevya ni hatari kama nyoka.Huu ni ulevi tu wa madaraka.
Kaka,
Uko serious? Hizo data ni za JamiiForums?
Mkuu Maxence Melo hachana naye huyu, ni zao la mfumo wa elimu wa chama chake cha ccm (shule za kata).Kaka,
Uko serious? Hizo data ni za JamiiForums?
Ni mara ngapi?na ni data zipi ziliwekwa jamii forum ni za uongo??
mh mwakyembe ameikejeli JF wakati akijibu swali la Wenje.
Amesema ukitegemea sana JF unaweza kuwa na hbr ambazo uhakika ni mushikeri
Hajui atendalo, angejua kuwa kupona kwake kuna mkono wa JF angeishukuru na kuichangia mara dufu!
Jf ndio inayofichua maovu ya nchi hii na ndio kisima cha hekima kwa wanasia machipuko, na zaidi jf ndio iliyofichua njama za jaribio la yeye kuuawa na kila aina ya hila dhidi yake lakini leo anaiona si chochote?
Aje ajiunge huko tumpige msasa huyo!
hubby material hapa hapakufai, twenzetu bondeni kwetu, stuka hubby stuka!lakini kuna kaukweli flani. Kuna habari nyingine zinazorushwa humu ni full c.r.a.p!
Kaka,
Uko serious? Hizo data ni za JamiiForums?
Mkuu Maxence Melo hachana naye huyu, ni zao la mfumo wa elimu wa chama chake cha ccm (shule za kata).
Hiyo bahari ya batter trade waliyopendekeza wachina waliotaka kujenga terminal three alishaisema Zitto tangu kikao cha April ndio zikafika hapa JF. Wenjer na yeye amekuwa mvivu tu wa kuuliza vema swali lakeAkimjibu Mh. Wenje kuhusu uwepo wa mpango wa kuwapatia wageni bandari ya Mtwara kw fidia ya deni la serikali Waziri Mwakembe alikanusha kata kata kuwepo kwa mpango huo na akaongeza kuwa "Taarifa kama hizi ndiyo matokeao ya kufuatilia habari za Jamii Forum".
Wana jamii tunakubaliana na hilo kwamba hapa JF ni mahali pa kupika taarifa za uwongo wakazitumia wabunge?
Akijibu swali la Wenje, Mwakyembe amesema kwamba taarifa zake si za kweli, "Ndiyo tatizo la kuchukua data kwenye JamiiForums."
Tujiulize, data za uwongo au uzushi ni hizi?
https://www.jamiiforums.com/interna...eased-obsolete-aircraft-for-air-tanzania.html
Acha kujipendekeza wewe sijui unamaanisha nini kusema hivyo! JF ni jukwaa huru sio mali ya Chadema.