Mwakyembe apotosha kuhusu MCC

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,087
103,318
DK. Harrison Mwakyembe, Waziri
wa Katiba na Sheria, amesema
kuwa Tanzania ni bora iendelee
kutaambika na watanzania wafe
wakiwa masikini kuliko
kuendelea kunyanyaswa na
mataifa ya ulaya, Mwakyembe ambaye
hata hivyo hakuyataja
mataifa hayo lakini moja
kwa moja ilionekana
kuyagusa baadhi ya
mataifa ya Ulaya pamoja
na Serikali ya Marekani
iliyovunja uhusiano na
Serikali ya Tanzania
katika mambo yote
yanayohusu miradi ya
maendeleo
inayofadhiliwa na mfuko
wa changamoto za
millenia (MCC).
Mwakyembe ametoa kauli hiyo
wakati akizungumza na
watumishi wa wizara ya katiba
na sheria jijini hapa, ikiwa ni
mwendelezo wa ziara yake ya
kikazi kwa mkoa wa Mwanza.
Mwakyembe ambae pia ni
mbunge wa Jimbo la Kyela
mkoani Mbeya, amesema kuwa
anashangazwa na baadhi ya
watu wanaotaka kuliingiza taifa
katika mambo mabaya yasiofaa
na yalioko kinyume na maadili ya
watanzania.
Amesema mataifa hayo
yamekuwa yakionekana
kuilazimisha Tanzania kuingia
katika mambo yasiyokubalika na
watanzania wenyewe ikiwemo
suala la `shoga` kitendo
ambacho alidai ni cha hovyo.
“Ni bora tufe masikini kuliko
kuendeshwa kwa hofu, wao
wanataka watuendeshe tu, sisi
vitu kama vya shoga vinapaswa
kupingwa vibaya na haiwezekani
kabisa.
“Vitu kama vya shoga ni vya
hovyo na kama watanzania
hatukubaliani navyo, hata maadili
yetu yenyewe hayataki mambo
kama hayo,” amesema
Mwakyembe.
Machi 29 mwaka huu, Serikali ya
marekani kupitia kwa bodi ya
wakurugenzi wa MCC ilitangaza
uamuzi wa kuinyima Serikali
Dora za kimarekani Milioni 472.8
( zaidi ya Sh. Trioni 1 na bilioni
20) kutokana na marudio ya
uchaguzi wa serikali ya Zanzibar
na sheria ya makosa ya mtandao.
 
DK. Harrison Mwakyembe, Waziri
wa Katiba na Sheria, amesema
kuwa Tanzania ni bora iendelee
kutaambika na watanzania wafe
wakiwa masikini kuliko
kuendelea kunyanyaswa na
mataifa ya ulaya, Mwakyembe ambaye
hata hivyo hakuyataja
mataifa hayo lakini moja
kwa moja ilionekana
kuyagusa baadhi ya
mataifa ya Ulaya pamoja
na Serikali ya Marekani
iliyovunja uhusiano na
Serikali ya Tanzania
katika mambo yote
yanayohusu miradi ya
maendeleo
inayofadhiliwa na mfuko
wa changamoto za
millenia (MCC).
Mwakyembe ametoa kauli hiyo
wakati akizungumza na
watumishi wa wizara ya katiba
na sheria jijini hapa, ikiwa ni
mwendelezo wa ziara yake ya
kikazi kwa mkoa wa Mwanza.
Mwakyembe ambae pia ni
mbunge wa Jimbo la Kyela
mkoani Mbeya, amesema kuwa
anashangazwa na baadhi ya
watu wanaotaka kuliingiza taifa
katika mambo mabaya yasiofaa
na yalioko kinyume na maadili ya
watanzania.
Amesema mataifa hayo
yamekuwa yakionekana
kuilazimisha Tanzania kuingia
katika mambo yasiyokubalika na
watanzania wenyewe ikiwemo
suala la `shoga` kitendo
ambacho alidai ni cha hovyo.
“Ni bora tufe masikini kuliko
kuendeshwa kwa hofu, wao
wanataka watuendeshe tu, sisi
vitu kama vya shoga vinapaswa
kupingwa vibaya na haiwezekani
kabisa.
“Vitu kama vya shoga ni vya
hovyo na kama watanzania
hatukubaliani navyo, hata maadili
yetu yenyewe hayataki mambo
kama hayo,” amesema
Mwakyembe.
Machi 29 mwaka huu, Serikali ya
marekani kupitia kwa bodi ya
wakurugenzi wa MCC ilitangaza
uamuzi wa kuinyima Serikali
Dora za kimarekani Milioni 472.8
( zaidi ya Sh. Trioni 1 na bilioni
20) kutokana na marudio ya
uchaguzi wa serikali ya Zanzibar
na sheria ya makosa ya mtandao.
Muhimili mmoja mkubwa sana wa kuiongoza nchi ya kijamaa ni propaganda.

Tanzania kama nchi iliyojengwa kwa misingi ya kijamaa na bado jamii inaupenda ujamaa lazima iende kipropaganda, na Mwakyembe kwa kulijua hilo anatumia karata yake vizuri sana.
 
Kwa alipofikia mwakyembe ni wa kuhurumiwa tu , huwezi kupinga andiko lako halafu ukabaki salama , sasa kusigina katiba na haya mambo ya ushoga wapi na wapi ? ni aibu sana kwa Mnyakyusa kuwa muongo
 
DK. Harrison Mwakyembe, Waziri
wa Katiba na Sheria, amesema
kuwa Tanzania ni bora iendelee
kutaambika na watanzania wafe
wakiwa masikini kuliko
kuendelea kunyanyaswa na
mataifa ya ulaya, Mwakyembe ambaye
hata hivyo hakuyataja
mataifa hayo lakini moja
kwa moja ilionekana
kuyagusa baadhi ya
mataifa ya Ulaya pamoja
na Serikali ya Marekani
iliyovunja uhusiano na
Serikali ya Tanzania
katika mambo yote
yanayohusu miradi ya
maendeleo
inayofadhiliwa na mfuko
wa changamoto za
millenia (MCC).
Mwakyembe ametoa kauli hiyo
wakati akizungumza na
watumishi wa wizara ya katiba
na sheria jijini hapa, ikiwa ni
mwendelezo wa ziara yake ya
kikazi kwa mkoa wa Mwanza.
Mwakyembe ambae pia ni
mbunge wa Jimbo la Kyela
mkoani Mbeya, amesema kuwa
anashangazwa na baadhi ya
watu wanaotaka kuliingiza taifa
katika mambo mabaya yasiofaa
na yalioko kinyume na maadili ya
watanzania.
Amesema mataifa hayo
yamekuwa yakionekana
kuilazimisha Tanzania kuingia
katika mambo yasiyokubalika na
watanzania wenyewe ikiwemo
suala la `shoga` kitendo
ambacho alidai ni cha hovyo.
“Ni bora tufe masikini kuliko
kuendeshwa kwa hofu, wao
wanataka watuendeshe tu, sisi
vitu kama vya shoga vinapaswa
kupingwa vibaya na haiwezekani
kabisa.
“Vitu kama vya shoga ni vya
hovyo na kama watanzania
hatukubaliani navyo, hata maadili
yetu yenyewe hayataki mambo
kama hayo,” amesema
Mwakyembe.
Machi 29 mwaka huu, Serikali ya
marekani kupitia kwa bodi ya
wakurugenzi wa MCC ilitangaza
uamuzi wa kuinyima Serikali
Dora za kimarekani Milioni 472.8
( zaidi ya Sh. Trioni 1 na bilioni
20) kutokana na marudio ya
uchaguzi wa serikali ya Zanzibar
na sheria ya makosa ya mtandao.

Sijui kama kuna mtu anayemfahamu Mwakyembe ambaye anaweza hata kumsikiliza. Jamaa uwongo ni asili yake na kwake ndiyo katiba mama ya maisha yake. Siwezi kupoteza muda kufuatilia mambo ya huyu jamaa. Kwake ukweli ni maradhi sugu ya kuambukiza. Wala usisumbuke naye lakini ni vyema tu kama utatumia muda wako kusahihisha ili kuiokoa jamii na upotoshaji wake.

Huyu jamaa haaminiki.
 
Hamjakatiwa missada kwa sababu za ushoga bwana !! Hiyo ni kwa sababu ya kuikanyaga democrasi na sheria kandamizi ya mitandao PROPAGANDA YA NINI SASA?!
 
Magirini=fiksi=.......... Kama alivyopakaziaga ile ajali hawa CCJ wanaula wenzao 6 na mpenda chali konda na nipe waooo magirini mtaji
 
Mimi binafsi sijawahi amini mwakyembe ni dr! Mara ya kwanza kwenye richmond alituambia kuna mambo waliyaficha kwani serekali ingeanguka sita alipoamua kwa utashi wake kuachana na issue ya richmond akawa kimya hakusema chochote, ikaja issue ya katiba ya warioba akayakana maandiko yake yaliyompa Phd, baadae kipindi cha kampeni akaibuka na kusema namjua mwenye Richmond, leo wamarekani wametunyima misaada kwa kukandamiza demokrasia na kupitisha sheria kandamizi ya makosa ya mtandaoni yeye kasema wanashinikiza ushoga! Kuliko kuwa Phd holder niwe kama mwakyembe bora nife nikiwa na elimu ya darasa la saba! Huyu bora dr rutengwe!
 
A
DK. Harrison Mwakyembe, Waziri
wa Katiba na Sheria, amesema
kuwa Tanzania ni bora iendelee
kutaambika na watanzania wafe
wakiwa masikini kuliko
kuendelea kunyanyaswa na
mataifa ya ulaya, Mwakyembe ambaye
hata hivyo hakuyataja
mataifa hayo lakini moja
kwa moja ilionekana
kuyagusa baadhi ya
mataifa ya Ulaya pamoja
na Serikali ya Marekani
iliyovunja uhusiano na
Serikali ya Tanzania
katika mambo yote
yanayohusu miradi ya
maendeleo
inayofadhiliwa na mfuko
wa changamoto za
millenia (MCC).
Mwakyembe ametoa kauli hiyo
wakati akizungumza na
watumishi wa wizara ya katiba
na sheria jijini hapa, ikiwa ni
mwendelezo wa ziara yake ya
kikazi kwa mkoa wa Mwanza.
Mwakyembe ambae pia ni
mbunge wa Jimbo la Kyela
mkoani Mbeya, amesema kuwa
anashangazwa na baadhi ya
watu wanaotaka kuliingiza taifa
katika mambo mabaya yasiofaa
na yalioko kinyume na maadili ya
watanzania.
Amesema mataifa hayo
yamekuwa yakionekana
kuilazimisha Tanzania kuingia
katika mambo yasiyokubalika na
watanzania wenyewe ikiwemo
suala la `shoga` kitendo
ambacho alidai ni cha hovyo.
“Ni bora tufe masikini kuliko
kuendeshwa kwa hofu, wao
wanataka watuendeshe tu, sisi
vitu kama vya shoga vinapaswa
kupingwa vibaya na haiwezekani
kabisa.
“Vitu kama vya shoga ni vya
hovyo na kama watanzania
hatukubaliani navyo, hata maadili
yetu yenyewe hayataki mambo
kama hayo,” amesema
Mwakyembe.
Machi 29 mwaka huu, Serikali ya
marekani kupitia kwa bodi ya
wakurugenzi wa MCC ilitangaza
uamuzi wa kuinyima Serikali
Dora za kimarekani Milioni 472.8
( zaidi ya Sh. Trioni 1 na bilioni
20) kutokana na marudio ya
uchaguzi wa serikali ya Zanzibar
na sheria ya makosa ya mtandao.
Akitoka huko mwanza tafadhari arudi nyumbani barabara ni mbovu kutoa njia panda boda mpaka itungi port majanga nyingine kuanzia pale customer kupitia daraja la ipiana mpaka katumba songwe utadhani hilo jimbo halina mbunge.
 
Muhimili mmoja mkubwa sana wa kuiongoza nchi ya kijamaa ni propaganda.

Tanzania kama nchi iliyojengwa kwa misingi ya kijamaa na bado jamii inaupenda ujamaa lazima iende kipropaganda, na Mwakyembe kwa kulijua hilo anatumia karata yake vizuri sana.
It is very true.

Tamko la MCC kuhusu kuinyima msaada Tanzania wa zaidi ya shilingi trilioni moja, limejieleza wazi kabisa.

Tamko hilo limetaja wazi kuwa unatokana na mambo mawili makuu.

1.Ni kuhusu uamuzi wa Jecha na CCM yake kulazimisha kufanya uchaguzi wa marejeo baada ya mgombea wake Dr Shein kubwagwa na Maalim Seif kwenye uchaguzi wa Oktoba 25 mwaka jana.

2. Ni kuhusu sheria mbovu ya mitandaoni, ambayo lengo lake ni kutaka kuminya uhuru walionao wananchi wa kujieleza na kutoa kero zao.

Sasa tumwombe huyo Dr Mwakyembe alitoe hadharani tamko hilo la MCC, halafu atuonyeshe hicho kipengele kilichosema kuwa MCC wametunyima msaada huo kutokana na Tanzania kutokubali ushoga.

Kweli nimeamini unapokuwa kiongozi ndani ya serikali ya CCM ni lazima ukubali condition moja kubwa ya kuwa ni lazima uweke rehani ufahamu wako na elimu yako pale mtaa wa Lumumba, including na kusalimisha PhD yako.
 
DK. Harrison Mwakyembe, Waziri
wa Katiba na Sheria, amesema
kuwa Tanzania ni bora iendelee
kutaambika na watanzania wafe
wakiwa masikini kuliko
kuendelea kunyanyaswa na
mataifa ya ulaya, Mwakyembe ambaye
hata hivyo hakuyataja
mataifa hayo lakini moja
kwa moja ilionekana
kuyagusa baadhi ya
mataifa ya Ulaya pamoja
na Serikali ya Marekani
iliyovunja uhusiano na
Serikali ya Tanzania
katika mambo yote
yanayohusu miradi ya
maendeleo
inayofadhiliwa na mfuko
wa changamoto za
millenia (MCC).
Mwakyembe ametoa kauli hiyo
wakati akizungumza na
watumishi wa wizara ya katiba
na sheria jijini hapa, ikiwa ni
mwendelezo wa ziara yake ya
kikazi kwa mkoa wa Mwanza.
Mwakyembe ambae pia ni
mbunge wa Jimbo la Kyela
mkoani Mbeya, amesema kuwa
anashangazwa na baadhi ya
watu wanaotaka kuliingiza taifa
katika mambo mabaya yasiofaa
na yalioko kinyume na maadili ya
watanzania.
Amesema mataifa hayo
yamekuwa yakionekana
kuilazimisha Tanzania kuingia
katika mambo yasiyokubalika na
watanzania wenyewe ikiwemo
suala la `shoga` kitendo
ambacho alidai ni cha hovyo.
“Ni bora tufe masikini kuliko
kuendeshwa kwa hofu, wao
wanataka watuendeshe tu, sisi
vitu kama vya shoga vinapaswa
kupingwa vibaya na haiwezekani
kabisa.
“Vitu kama vya shoga ni vya
hovyo na kama watanzania
hatukubaliani navyo, hata maadili
yetu yenyewe hayataki mambo
kama hayo,” amesema
Mwakyembe.
Machi 29 mwaka huu, Serikali ya
marekani kupitia kwa bodi ya
wakurugenzi wa MCC ilitangaza
uamuzi wa kuinyima Serikali
Dora za kimarekani Milioni 472.8
( zaidi ya Sh. Trioni 1 na bilioni
20) kutokana na marudio ya
uchaguzi wa serikali ya Zanzibar
na sheria ya makosa ya mtandao.
Ungepata uelewa japo kidogo kama punje ya haradali juu ya suala la MCC ungeandika vizuri hapa naona umeandika kwa kukurupuka
Marekani haijasitisha uhusiano na Tanzania
Ujue pia kwamba misaada ya Marekani katika sekta ya afya haijakatwa
Usipotoshe uma
 
Back
Top Bottom