usininukuu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 380
- 44
Kwa siasa za aina hii nchi yetu haitakuwa salama
mbna ipo nadhani page ya kwanza au ya pilijamani tuwekeeni picha, wengine ni kama yakobo wakuu, tuwekeeni picha sio mnaamsha mori zetu then mnakaa kimya
Aseme mara ngapi wakati aliandika kwa Manumba wakamdharau.yeye mwenye anawajua, c aseme ukweli tu!
Tunashukuru kwa maneno yako mazuri ubarikiwe. Nawafahamu hao wabunge kwa karibu nitasoma na mimiKweli inauma sana, ila kama kuna wanafamilia wa Mwakyembe anasoma hii comment naomba muwe mnasoma zaburi 35 kila siku mpaka atakapopona, zaburi ya 46, na 109, hii ni kwa ajili ya mgonjwa na pia ni njia nzuri ya kuwashughulikia maadui zenu. Ingekuwa vizuri kama mke wake angekuwa anasoma.
Mgonjwa mwenyewe awe anasema haya maneno kila siku Maombolezo 3:22-23, Yakobo 5:15-16, Zaburi 20 yote, Awe na moyo wa kusamehe yote, hakika Mungu atauokoa uhai wake na kaburi. Maana imeandikwa katika Marko 16:18b hata wakinywa kitu cha kufisha hakitawadhuru kabisa.
I hope anybody who is closer to this family will take this very seriouse. Hulituma neno lake lipate kutuponya na kututoa katika maangamizi. I will keep praying for him
Huko huko kwa Joshua na Lowassa anaenda kuombewaJamani mi nina imani kuwa wakati akiendelea na matibabu india ndugu,familia na marafiki na sisi wote tunaompenda tumwombee na ndugu wampeleke nigeria kwa mtumishi wa mungu t.b joshua hakuna kinachoshindikana kwa yesu!!
Kama familia,ndugu na marafiki wanapitia kwenye huu mtanda plse plse plse take my advice naomba wampeleke kwa mtumishi wa mungu atapona na kurudi kama kawaida narudia hakuna lisilowezekana kwa mungu.
Hii ni DHAMBI ambayo katu WANYAKYUSA hawatoisamehe CCM na JK kama chochote kitawatokea MWAKYEMBE na RAIS wa Wanyakyusa Prof.MWANDOSYA.Mungu awapiganie warudi salama.
Mola atapambana na watesi wake!
Huko huko kwa Joshua na Lowassa anaenda kuombewa