BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,106
........wanaelewa, tena vizuri sana, pointi hapa ni kwamba wanajifanya hawaelewi; swali, wanajifanya hawaelewi kwa manufaa ya nani?polisi wanachokiongea hawakielewi sawasawa. mtandao siku hivi unahabari nyingi za kuaaminika. mbona magazeti wanayaamini kwani wanakaa wangapi kuandika habari moja.