Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe ameanza kutema cheche zake kwa kuanza kusafisha shirika la ATCL kwa kuwafukuza kazi Mkurugenzi Mkuu Bwana Chizi na Mhasibu wa shirika na baadhi ya watendaji.