Mwakalebela ashinda tena,Takukuru Waumbuka !

Haya yalikuwa ni majungu ya kisiasa tu. Mbona wabunge wengi tu walisikika wakitoa hizo rushwa wakati wa uchaguzi?
 
Rushwa inachagua sura, Tendwa alisema jk alikiuka sheria mpya ya uchaguzi kwa kuwa alikuwa haijui pia haijajulikana vizuri,akamlinda hakuenguliwa kati ya wagombea,toka hapo nkajua iyo sheria haíiusu ccm bali wengine,sasa mkisemwa mwakalebela basi mmeisema ccm au ufisadi,na hapo tayari sheria iyo haimuhusu. Kwa kuwa Mwakalebela namtegemea awe Officer pale makumbusho ya Taifa pale karibu na ikulu/ifm, namuombea foleni njema ya kwenda na kurudi kutokea posta pindi atakapoukwaa ubosi wa Makumbusho ya Taifa. Gsana.
 
Ukweli wa kesi iliyofunguliwa na PCCB kwa bwana mwakalebela ilikuwa ni mchezo wa kuingiza tu hapo kulikuwa hakuna kesi. Ila tu hawa PCCB lazima waonyeshe kuwa wanafanya kazi ndipo walipwe otherwise boss atafunga office!
 
Kuna watu wanajihusishwa na rushwa kubwa kubwa lakini hawachukuliwi hatua zozote za kisheria, bali wale wanaojihusisha na rushwa ndogo ndogo ndiyo wanaokamatwa na kushtakiwa.
Kuna tatizo kubwa pia kwenye recruitment ya staff wa takukuru, either wanawekwa kwa misingi ya undugu au kimaslahi.
Mfano wa misingi ya kimaslahi ni pale kiongozi mkuu wa takukuru Edward Hosea alivyoteuliwa kuwa mkurugenzi. alikuwa ni Marten Lumbanga (katibu mkuu kiongozi wa zamani) aliyemshawishi Mkapa amteue Hosea kwa madai kuwa ni mtu mchapakazi na mwaminifu. kumbe behind the issue kulikuwa kuna maslahi.
ikumbukwe kuwa Hosea ndiyo aliyekuwa anasupervise business firm ya Lumbanga wakati huo, na haikuwa ya halali ndiyo maana alifanya hivyo ili asije kumlipua.
 
hiyo haikuwa kesi ni usanii mtupu wa chama cha magamba.Angehamia chama kingine cha siasa na hasa chadema ,Mwakablebela asingepumua lakini kuwakubali akina magamba mambo yake bila hatia kwa kila sehemu.Ila waliisaidia sana CDM kumbwaga pwa! monica Mbega katika uchaguzi huona!!!!
 
Back
Top Bottom