Abdul azizy
Senior Member
- Sep 22, 2016
- 144
- 76
Subiri kwanza tuwagombanishe wenye vyama vya upinzani halafu badala ya miaka kumi tutatoa ajira kwa vijana 20 tuu nchi nzimaHabarini wanajamvi, Mimi ni msichana natafuta kazi ambayo ni halali itakayoniingizia kipato, Nina degree ya procurement and logistics management.. Kwa mwenye kuweza kunisaidia au anaitaji maelezo zaidi naomba anicheck pm.
Natanguliza Shukrani.