Mwaka ule ikuwaje Mwakyembe akatamka haya?

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Najua naweza kuwa naudhi wengi lakini pia nadhani JF is where we dare , baada ya uchaguzi mkuu mwaka ule nakumbuka KAFU waliporwa ushindi na watu walikufa chini ya uongozi wa Mkapa .KAFU waliendelea kupiga kelele sana na walikuwa na point wakati ule , lakini kwa mshangao dakitari wa sheria bwana Mwakyembe ambaye leo anasema ni mzalendo alisimama na kuishauri serikali kumkamata Seif Sharrif na kumweka rumande na afunguliwe mashitaka ya uhaini .Baada ya siku chache Mwakyembe nadhani aliukwaa Ubunge wa EA .Wakati na sasa tofauti yake nini ? Upi uzalendo zaidi ? watu kufa na tena kwa kudai haki yao ya kuporwa kura zao ama leo kulia na mafisadi ndani Chama chake ambacho kilifisadi kura za watanzania wa kule visiwani na yeye hakuona huruma alishiriki ufisadi ule in a way na hakujali hatma ya Tanzania yangu ? Leo etu anaitwa hero ? Mnisaidie kuelewa hili jamani mie bado siamini na sijajua kwa nini Mwakyembe alitoa kauli ile na kumtaka Mkapa amkamate Seif kama mhaini .
 
Hakuna mtu hata huko CCM anayaweza kujua Mwakyembe aliingiwa na dudu gani jamani akanisaidia kuondoa hisia hizi moyoni mwangu na nijenge imani kwa Mwakyembe ?
 
Hakuna mtu hata huko CCM anayaweza kujua Mwakyembe aliingiwa na dudu gani jamani akanisaidia kuondoa hisia hizi moyoni mwangu na nijenge imani kwa Mwakyembe ?

Kwa kuwa dalili za kuonyesha uzalendo zimeonekana baada ya kuwa alishafanya kosa kama unavyosema, basi wazi kuwa kuna dalili ya ungamo. Alifanya kosa, amejirekebisha. Hukumu yake iko mikononi mwako
 
na hakuna muandishi wa habari aliyemuuliza kuhusu "aliyeyafanya nyuma na kuungama"?
 
na hakuna muandishi wa habari aliyemuuliza kuhusu "aliyeyafanya nyuma na kuungama"?
waandishi wetu jamaniii si kama ujuavyoo ile kwa sasa ni career of chance sio choice!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

yaani uliwataka wakumbuke hilo wakati wao kuwahoji viongozi ni bonge la ujikooo???
 
Pamoja na kuwa naweza kutofautiana na Dk.wakyembe, lakini wakati ule alikuwa sahihi kutamka kuwa "Seif Shariff Hamad, alikuwa mhaini na akamatwe". Kura zinaibwa kote, isipokuwa Pemba tu, ambako CUF siku zote inashinda kihalali! Seif anawashawishi watu waingie mitaani kuandamana, si yeye wala kiongozi yeyote wa CUF anayeshiriki. Inalalamikiwa kuwa waandamanaji wamepiwa risasi na kuuawa, lakini hakuna anayezungumzia polisi aliyechinjwa na kukatwa kabisa kichwa kwa jmbia, alipokuwa kazini! Seif, na viongozi wenzake walijua nini kitatokea na walitaka kutumia hiyo kuwa ni "Political Mileage", lakini imeshindwa vibaya! Amegombea mara tatu sasa na ameshindwa na anataka tena! Angekuwa hana lake jambo, angemwachia mwana-CUF mwingine agombee! Kura kuibwa ni "danganya toto tu". Haiwezi kukubalika! Wapemba, hasa baadhi ya viongozi wa CUF, wanadai wananyanyaswa, lakini wana vitega uchumi kibao, Majumba, Mashamba, Maduka, Teksi n.k. Unguja na Tanzania Bara! Makamu wa Rais Mpemba, na tusiombee mabaya, JK akiitwa na Mwenyezi Mungu kesho subuhi, Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano atakuwa kutoka Pemba! Acheni siasa za ulalamishi!

Bwassa
 
Huyo Mwakyembe wakati huo hakuwa mwanasiasa alizungumza kama nani na katika occasion gani? Mie sina kumbukumbu ya tukio hilo, hebu liweke sawa.
 
Tunaomba quoted source ya maneno aliyosema mwakyembe siku hiyo.
 
Mwakyembe anapatikana na anaweza kuulizwa juu ya hii kauli yake , alimshauri Mkapa na baadaye ndipo akawa Mbunge wa EA hata mimi nakumbuka .Hivi kusema watu waingie mtaani kupinga matokeo ya Uchaguzi ni uhaini kumbe kwa Tanzania ?Je adhabu ya watu kupinga matokeo yab kura zao kuibiwa ni kuwapiga risasi za moto ?
 
Hii habari tumeingizwa mjini kuijadili bila kuelezwa kuwa ushauri huu ulitolewa lini na wapi-source ya data! Au tuseme Mwakyembe alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Mkapa?
 
Hii habari tumeingizwa mjini kuijadili bila kuelezwa kuwa ushauri huu ulitolewa lini na wapi-source ya data! Au tuseme Mwakyembe alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Mkapa?

Mkuu rejea wakati wa uchaguzi mkuu na mauaji ya Zanzibar .Kama ulikuwa mdogo ingia Library pata habari uje .Mwakyembe hajaanza kuwa Mbunge jana ni baada ta matamshi haya ndipo akaukwaa Ubunge wa Mashariki .
 
Lunyungu,

Hiyo habari ya Dr. Mwakyembe ipo na hapa Kyela inajulikana kwamba alitetea kuuawa kwa raia na kuisafisha CCM ili apewe ubunge wa East Africa.

Kuna madudu mengi ya Dr. ataulizwa hapo mwakani. Sababu iliyoudhi watu hapa ni kumsingizia huyo kijana wa UK kwamba ni fisadi au anapewa pesa na mafisadi wakati hakuna hata tone la ukweli. Jamaa anajulikana hapa Kyela kama mtu safi na asiyependa makuu kabisa.

Dr. atofautiane na huyo jamaa na wachambuane kwa sera, lakini kwa ujinga na propaganda aliozoanza kuna watu wamejiandaa kumuumbua kweli hasa kuhusu hayo mauaji na pia kuiba wajumbe wa CCM na kwenda kuwaficha Rungwe wakati wa uchaguzi ndani ya CCM.

Mimi nimewaambieni Kyela kutakuwa na kazi kubwa 2010.

Mpaka sasa huyo jamaa hajaanza kumjibu Dr. Kuna waandishi nasikia walimfuata kumwambia ajibu akawaambia ukijibizana na kichaa nani anakuwa kichaa zaidi?
 
Engineer mimi nilishikwa na mshangao sana kwamba hakuna Mtanzania anakumbuka mkasa huu ambayo baadaye alipewa Ubunge wa EA .Nataka mjue kwamba Mwakyembe might be a good guy na rafiki wa Watanzania kwa namna moja lakini he is aleading opprtunist.Inatakiwa aombe msamaha juu ya matamshi na ushauri wake kwa Rais kwamba Seif akamatwe kwa uhaini huku akiwa mganga wa sheria na anajua kwamba Zanzibar is not a state bali mkoa tu ule .
 
Alaah kumbe! Hoja hii imeletwa ikiwa ni harakati za kum-discredit Mwakyembe kwenye uchaguzi ujao!

Kama walivyosema wengine hapa inabidi tupewe full story ya mazingira yaliyosababisha Dr. Mwakyembe kutamka maneno hayo. Kama Seif Sharrif alitamka ama alidhihirisha vitendo vilivyoashiria uhaini, Mwakyembe alikuwa na haki ya kutamka hivyo, kama alivyofanya. Yes, kama Dr. wa Sheria asingeliweza kukurupuka tu na kutoa matamshi mazito kama hayo bila sababu. Lazima sababu tena ya msingi ilikuwepo. Tutakuwa hatumtendei haki iwapo tumhukumu kwa kuwa tu kuna mtu anamezea mate na anataka kuchukua kiti chake cha Ubunge mwakani!
 
Njia ya mwongo siku zote ni fupi hata huyo aliyekutuma kuandika hiyo thread atajulikana siku c nyingi kuwa yye si mwana Igunga
 
Alaah kumbe! Hoja hii imeletwa ikiwa ni harakati za kum-discredit Mwakyembe kwenye uchaguzi ujao!

Kama walivyosema wengine hapa inabidi tupewe full story ya mazingira yaliyosababisha Dr. Mwakyembe kutamka maneno hayo. Kama Seif Sharrif alitamka ama alidhihirisha vitendo vilivyoashiria uhaini, Mwakyembe alikuwa na haki ya kutamka hivyo, kama alivyofanya. Yes, kama Dr. wa Sheria asingeliweza kukurupuka tu na kutoa matamshi mazito kama hayo bila sababu. Lazima sababu tena ya msingi ilikuwepo. Tutakuwa hatumtendei haki iwapo tumhukumu kwa kuwa tu kuna mtu anamezea mate na anataka kuchukua kiti chake cha Ubunge mwakani!



Boramaisha
Mie sitoki Kyela na wala sijui huko wanaishi vipi .Mimi nime hoji hili si mara moja wala mara mbili .Swali langu halina mahusiano na siasa zao za majitaka huko CCM.Mimi nauliza kwamba leo aweje hero wa Taifa wakati alishindwa kuona mauaji ya Watanzania wale kwa dhuluma ya Chama chake kuiba kuiba kura .Alitamka maneno yale akijua Zanzibat si Nchi na bado alitaka CUF wakamatwe na Seif Sharrif kwa msimamo wa Chama chake kupinga wizi wa kura.Je katika kumbukumbu zako kuna jambo lolote lilifanywa na wana CUF la kuhatarisha usalama wa Nchi ? Alichinjwa Askari ilikuwa ni baada ya wao kutumia risasi za moto kuwaua raia kisa wanaipinga CCM.

Rejea tena maneno ya Munishi kuna Youtube yake hapa JF .Ushabiki hakuna bado naomba majibu kama wasemaje wake mpo hapa nipeni majibu .
 
Boramaisha
Mie sitoki Kyela na wala sijui huko wanaishi vipi .Mimi nime hoji hili si mara moja wala mara mbili .Swali langu halina mahusiano na siasa zao za majitaka huko CCM.Mimi nauliza kwamba leo aweje hero wa Taifa wakati alishindwa kuona mauaji ya Watanzania wale kwa dhuluma ya Chama chake kuiba kuiba kura .Alitamka maneno yale akijua Zanzibat si Nchi na bado alitaka CUF wakamatwe na Seif Sharrif kwa msimamo wa Chama chake kupinga wizi wa kura.Je katika kumbukumbu zako kuna jambo lolote lilifanywa na wana CUF la kuhatarisha usalama wa Nchi ? Alichinjwa Askari ilikuwa ni baada ya wao kutumia risasi za moto kuwaua raia kisa wanaipinga CCM.

Rejea tena maneno ya Munishi kuna Youtube yake hapa JF .Ushabiki hakuna bado naomba majibu kama wasemaje wake mpo hapa nipeni majibu .

Lunyungu, hata kama hutoki Kyela it amounts to the same thing. Swali lako ni la kishabiki kuliko kimantiki. Why ask it now? Huoni kwamba hoja yako imepitwa na wakati? Sasa hivi tuko kwenye operation Zinduka!
 
Pamoja na kuwa naweza kutofautiana na Dk.wakyembe, lakini wakati ule alikuwa sahihi kutamka kuwa "Seif Shariff Hamad, alikuwa mhaini na akamatwe". Kura zinaibwa kote, isipokuwa Pemba tu, ambako CUF siku zote inashinda kihalali! Seif anawashawishi watu waingie mitaani kuandamana, si yeye wala kiongozi yeyote wa CUF anayeshiriki. Inalalamikiwa kuwa waandamanaji wamepiwa risasi na kuuawa, lakini hakuna anayezungumzia polisi aliyechinjwa na kukatwa kabisa kichwa kwa jmbia, alipokuwa kazini! Seif, na viongozi wenzake walijua nini kitatokea na walitaka kutumia hiyo kuwa ni "Political Mileage", lakini imeshindwa vibaya! Amegombea mara tatu sasa na ameshindwa na anataka tena! Angekuwa hana lake jambo, angemwachia mwana-CUF mwingine agombee! Kura kuibwa ni "danganya toto tu". Haiwezi kukubalika! Wapemba, hasa baadhi ya viongozi wa CUF, wanadai wananyanyaswa, lakini wana vitega uchumi kibao, Majumba, Mashamba, Maduka, Teksi n.k. Unguja na Tanzania Bara! Makamu wa Rais Mpemba, na tusiombee mabaya, JK akiitwa na Mwenyezi Mungu kesho subuhi, Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano atakuwa kutoka Pemba! Acheni siasa za ulalamishi!

Bwassa
kwani Seif alitakiwa agombee mara ngapi ndo ionekane mwisho wake wa kugombea urais wa zanzibar??

I dont get the connectionor the point you want to make on the wapemba kuwa na vitega uchumi Vs kunyanyaswa
 
Alaah kumbe! Hoja hii imeletwa ikiwa ni harakati za kum-discredit Mwakyembe kwenye uchaguzi ujao!

Kama walivyosema wengine hapa inabidi tupewe full story ya mazingira yaliyosababisha Dr. Mwakyembe kutamka maneno hayo. Kama Seif Sharrif alitamka ama alidhihirisha vitendo vilivyoashiria uhaini, Mwakyembe alikuwa na haki ya kutamka hivyo, kama alivyofanya. Yes, kama Dr. wa Sheria asingeliweza kukurupuka tu na kutoa matamshi mazito kama hayo bila sababu. Lazima sababu tena ya msingi ilikuwepo. Tutakuwa hatumtendei haki iwapo tumhukumu kwa kuwa tu kuna mtu anamezea mate na anataka kuchukua kiti chake cha Ubunge mwakani!

Ushauri wake wa kutaka Seif akamatwe na ashtakiwe kwa uhaini ulikuwa wa kipumbavu ndo maana haukuzingatiwa.Hatuwezi kuongoza nchi kwa jazba za viongozi wa aina ya Mwakyembe..By the way i dont look at him as among the wazalendo to this country.Iam sorry
 
Najua naweza kuwa naudhi wengi lakini pia nadhani JF is where we dare , baada ya uchaguzi mkuu mwaka ule nakumbuka KAFU waliporwa ushindi na watu walikufa chini ya uongozi wa Mkapa .KAFU waliendelea kupiga kelele sana na walikuwa na point wakati ule , lakini kwa mshangao dakitari wa sheria bwana Mwakyembe ambaye leo anasema ni mzalendo alisimama na kuishauri serikali kumkamata Seif Sharrif na kumweka rumande na afunguliwe mashitaka ya uhaini .Baada ya siku chache Mwakyembe nadhani aliukwaa Ubunge wa EA .Wakati na sasa tofauti yake nini ? Upi uzalendo zaidi ? watu kufa na tena kwa kudai haki yao ya kuporwa kura zao ama leo kulia na mafisadi ndani Chama chake ambacho kilifisadi kura za watanzania wa kule visiwani na yeye hakuona huruma alishiriki ufisadi ule in a way na hakujali hatma ya Tanzania yangu ? Leo etu anaitwa hero ? Mnisaidie kuelewa hili jamani mie bado siamini na sijajua kwa nini Mwakyembe alitoa kauli ile na kumtaka Mkapa amkamate Seif kama mhaini .


Lunyungu yupo sahihi katika hili, imefika wakati hawa wanasiasa tunao waita "wazalendo" tuwe tunawafanyia background check na kwa kufanya hivyo mara moja utawajua wakweli na wanafiki.

Dr Mwakyembe alitamka maneno hayo dhahihri na shahiri! na ni kweli muda mfupi tu baada ya hapo "akazawadiwa" ubunge wa afrika masharika and the rest is history...

Historia ita mhukumu Dr Mwakyembe kwa unafiki wake na ndio maana mwandishi huyu alikuwa na haya ya kusema kuhusu Dr Mwakyembe;

Harrison Mwakyembe – a frustrated intellectual turned political mercenary. Among the three "Mwas" giants from Mbeya (Mwakyembe, Mwandosya, and Mwakyusa), he is the least accomplished despite his somewhat decent schooling. Eager to play in Serie A like the other Mwas, he is up for sale, and price could be as low as the Deputy Ministerial portfolio. He surprised many who thought highly of him by presenting his Richmond report to the House without the decorum befitting his personage and reputation and by including references to Kubenea incident that did not have anything to do with a power deal he was asked to investigate. However, he is clever enough to know that Tanzanians have such a short attention span and his 15 minutes will be over soon. One thing is clear: he will go down the way of another sensational Mbeya politician, Njelu Kasaka, who shook the nation in the 1990s and got the audacity to run for President in 1995 while his 15 minutes were up.
 
Back
Top Bottom