Mwaka mpya wa 2012: Tuimarishe ndoa zetu…


....mzee, hili nadhani ni ngumu kumesa kwa wanaume wengi tofauti na kina mama, ...ila ukimletea mke mtoto baada ya ndoa, huo moto wake kuuzima labda aje ziraili!

Mkuu hapa umemaliza kila kitu.....






Watoto waliopatikana kabla ya ndoa….Hili ni gumu sana especially kwa wanawake kuliko kwa wanume….Linachangiaje ku-destabilize ndoa??...Naomba michango ya wadau!!


Babuu hili suala wajukuu zako wengine tuliowahi kucheza mechi za mchangani na linatupa mtihani hadi kufikia kuapa kuwa labda ndoa itafuata wakati hawa wakina Malaika weshakuwa watu wazima kabisa.....
 
Wakuu, kwangu mwaka 2011 ulianza vby sn lkn umeisha vzr sn. Ni mwaka ambao mchezo wa infideliy almanusra uniletee balaa ndoani mwangu. Kuna uzi niliwah kuanzisha humu kuwa small hous nlokuwa nayo balaa. Ninayo mengi sn ya kumshukuru Mungu kwa mwaka huu lakn 1wapo kubwa ni kuumaliza huu mwaka nikiwa huru, kwa mke wangu pekee. Nawapa ushuhuda wazee wenzangu humu kuwa hakuna raha kama kuachana na vifungo vya smal hous. Najua ni wengi humu kwa mda mrefu hawajawa na uhuru wa kumwambia wife awapokelee simu wakiwa mbali nayo. Nawashukuru sn wanajf wote kwa shaur mbalmbal hapa. Kwa namna ya kipekee namshukuru Ashadii ambaye kuna ujumbe wenye maneno ma3 aliowah kuucctza hapa, ambao umekuwa kama silaha wakati nadai uhuru wa moyo wangu. Nawapa moyo sana wazee wenzangu ambao bado wamenasa ktk mitego ya smal hous, waendelee kupambana na mioyo yao, cku 1 watatoka.

Nice one kiongozi, congratulations nyingi kwa kufanikiwa kujiweka huru,...
i hope na wengineo wengi walio na makufuli haya shingoni wana la kujifunza toka kwako.
Heri ya mwaka mpya bana.
 
Yaani wangu Lizzy we acha haya mambo usitake kujua zaidi...
Sasa hapo usitake kujua nilikuwa mitaa gani hapo..... lol

jG umenifanya nitake kujua zaidi ya mwanzo.

Ila ngoja tuache hicho kipande, je angefika leo hii ungetuhadithia nini?Kwamba hutaki ndoa maana uaminifu ni ZERO (0)?
 
jG umenifanya nitake kujua zaidi ya mwanzo.

Ila ngoja tuache hicho kipande, je angefika leo hii ungetuhadithia nini?Kwamba hutaki ndoa maana uaminifu ni ZERO (0)?

Ushaanza kuchimba zaidi, umemuacha yule aliyekuwa blocked kwenye FB lol.....
Yah suala la uaminifu lazima lijadiliwe na ntachangia kwa herufi kubwa zote

 
Ushaanza kuchimba zaidi, umemuacha yule aliyekuwa blocked kwenye FB lol.....
Yah suala la uaminifu lazima lijadiliwe na ntachangia kwa herufi kubwa zote

Hahahaha. . . ngoja nifanye kublock watu FB iwe resolution yangu ya mwaka mpya.

Jadili basi uaminifu, siku hiyo ulikua umekusudia kupima kama bado wapo wenye nao?
 
swala la ndoa lina pande mbili kama sarafu,inahitaji miujiza
 
Wakuu, kwangu mwaka 2011 ulianza vby sn lkn umeisha vzr sn. Ni mwaka ambao mchezo wa infideliy almanusra uniletee balaa ndoani mwangu. Kuna uzi niliwah kuanzisha humu kuwa small hous nlokuwa nayo balaa. Ninayo mengi sn ya kumshukuru Mungu kwa mwaka huu lakn 1wapo kubwa ni kuumaliza huu mwaka nikiwa huru, kwa mke wangu pekee. Nawapa ushuhuda wazee wenzangu humu kuwa hakuna raha kama kuachana na vifungo vya smal hous. Najua ni wengi humu kwa mda mrefu hawajawa na uhuru wa kumwambia wife awapokelee simu wakiwa mbali nayo. Nawashukuru sn wanajf wote kwa shaur mbalmbal hapa. Kwa namna ya kipekee namshukuru Ashadii ambaye kuna ujumbe wenye maneno ma3 aliowah kuucctza hapa, ambao umekuwa kama silaha wakati nadai uhuru wa moyo wangu. Nawapa moyo sana wazee wenzangu ambao bado wamenasa ktk mitego ya smal hous, waendelee kupambana na mioyo yao, cku 1 watatoka.
kulikuwa na umuhimu gani kuwa na small house?je kwa sasa nyumba ndogo na kubwa wapi unaona kuzuri ungepewa uhuru?
 
Ni ngumu na ndiyo maana ni muhimu kufanya maamuzi magumu,

Binafsi nimefanya yafuatayo
1. Sihitaji mawasiliano ya namna yoyote na Ex GFs wangu wote...Hata wanapojaribu kunitafuta nawaeleza kuwa nilishafunga gate na fungua nilizitumbukiza kwenye shimo la choo....Tena ni kule Jangwani ambao mafuriko yamepita na kuzoa kila kitu!
2. Bibi DC ameelezwa hayo, na nimemuomba kufanya kama mimi, if possible. Vinginevyo aendelee but at her own risk!
3. Memory chafu zinaponiandama, najipa moyo kwamba my wife is the best of all.....Hata siku moja siipi nafasi akili yangu imuweke my wife wangu kwenye nafasi nyingine zaidi ya hiyo!

A good grandfather ever seen before.
Saluteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mkuu DC, nilitaka nikugongeee big like lakini bado najishauri but anyway ngoja nigonge tu!!!

Umemwaga MAPOINT ya nguvu, ukafika hapa kwenye red ukaharibu banaaa..


4. Uaminifu….Hapa ni pagumu sana ila ni eneo nyeti…Ukishindwa basi tumia kanuni ambazo wadau walileta na kujadili hapa….Cheating should be avoided but doing it responsively ni sehemu ya uungwana kwenye ndoa


 
Mkuu DC, nilitaka nikugongeee big like lakini bado najishauri but anyway ngoja nigonge tu!!!

Umemwaga MAPOINT ya nguvu, ukafika hapa kwenye red ukaharibu banaaa..


4. Uaminifu….Hapa ni pagumu sana ila ni eneo nyeti…Ukishindwa basi tumia kanuni ambazo wadau walileta na kujadili hapa….Cheating should be avoided but doing it responsively ni sehemu ya uungwana kwenye ndoa



Katika kila fani hata kwenye tiba, huwezi kuwa dawa ambayo itawatibu watu wote. Sasa hao ambao hawawezi kutibiwa na dawa tutayoitaka tuwaache waangamie?

Unaelewa kwa nini control ya HIV/AIDS inategemea sana A, B, and C badala ya A na B peke yake?

Tupe basi maoni yako,

Happy New Year,

Babu DC!!
 
Mkuu hapa umemaliza kila kitu.....



Babuu hili suala wajukuu zako wengine tuliowahi kucheza mechi za mchangani na linatupa mtihani hadi kufikia kuapa kuwa labda ndoa itafuata wakati hawa wakina Malaika weshakuwa watu wazima kabisa.....

Niliposema kuwa suala la watoto wa kabla ya ndoa ni gumu kwa mwanamke, nilimaanisha kuwa inakuwa vigumu kwa wanaume kuwakubali wanawake wenye watoto na kwa hiyo inakuwa vigumu kwa wanawake kupata wanaume wa kuwaoa au kuwa na ndoa imara wanapokuwa na watoto kabla ya kukutana na hao wanaume.

2. Watoto waliopatikana kabla ya ndoa….Hili ni gumu sana especially kwa wanawake kuliko kwa wanume….Linachangiaje ku-destabilize ndoa??...Naomba michango ya wadau!!
 
Back
Top Bottom