Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,839
Mbu muhimu ni kuridhika.
Wapo walionzana baada ya ndoa na wakaishia kutoka kwa kusikia haya na yale.Kama wewe sio mtu wa kuridhika siku ukisikia mtu anasifia kitu ulichozoea wewe kwa namna ambayo ni tofauti utataka tu kuonja na wewe uone mbwembwe zote ni za nini.
....lol....ati mbwembwe zote za nini...hahahaha...kumbeeee ndivyo inavyokuwa ee!?