Mwaka 2015 na ajira serikalini

peter daudi

Senior Member
Sep 16, 2012
112
30
Mwaka 2015 ni mwaka wa uchaguzi na kama kawaida utaendana na uboreshwaji wa daftali la wapiga kura. Huku mchakato wa katiba ukiwa umekula pesa ya kutosha. Kibaya zaidi ni Wahisani kutotoa pesa huku bajeti ikitegemea pesa kutoka kwa wahisani. Sasa Je? serikali ya tz itakuwa na uwezo wa kuajili mwakani hasa walimu?
 
Mwaka 2015 ni mwaka wa uchaguzi na kama kawaida utaendana na uboreshwaji wa daftali la wapiga kura. Huku mchakato wa katiba ukiwa umekula pesa ya kutosha. Kibaya zaidi ni Wahisani kutotoa pesa huku bajeti ikitegemea pesa kutoka kwa wahisani. Sasa Je? serikali ya tz itakuwa na uwezo wa kuajili mwakani hasa walimu?

Sioni kama kutakua na shida la ajira hasa za walimu kwa mwaka 2015." kuara yako ni muhimu kwetu".
nategemea kuona tatizo la ajira hasa kwa walimu mwaka 2016!
 
hata kabla wahisani hawajagomea kutoa hisani zao bado serikali kupitia mama selina kombani alishasema kuwa ajira kwa walimu wa sanaa zimetosha.sasa hili suala la wahisan kugomea kutoa ufadhili ndo kabisaa litasababisha kuwa na ajira chache na ni kwa walimu wa sayans.linapokuja suala la uhaba wa kifedha hakuna ujanja hata kama ni mwaka wa uchaguz hawawez kuajir tu walimu wkt pesa hakuna.muhim kuomba tu wafadhili walete hizo fedha walizoahid kwa wakati ndo tuone kama watafikiria kuhusu ajira kwa vijana hasa walimu.
 
Back
Top Bottom