kwa mwaka huu kilichonikera ni mgao mkubwa wa umeme!!
Kingine ni mgao wa mafuta!!
Ongezeko la maandamano ya chadema!!
endeleza na wewe!
Mimi kilichonikera ni wewe kuanzisha hii mada ambayo nilikuwa nimepanga niinzishe mimi.
hujawahi badilika.....
...Msanii kuendelea kuwepo madarakani pamoja na ushahidi tosha kwamba kazi ya kuiongoza nchi imemshinda....nilidhani atajiuzulu lakini inaelekea "ULAISI" mzuri