JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
JK, & SHIMBO. Nchi Hii sio ya kwenu. Wala nyie sio Miungu wa Tanzania kwanza hamna ubavu wa kumwaga damu yetu kunguru wakubwa nyie, Mtatoka kwa sanduku la Kura. Jeuri ya kupambana na Watanzania 40,000,000 Hmna. Mnaturingishia Amani ya Kinafki, ni sisi wenyewe ambao tumeamua kutulia kwa amani ila ninyi hakuna chochote ambacho mmeleta zaidi ya madudu. Kwanza mna nini cha ajabu ambacho hapa duniani hatujawai kukiona labda tuwaogope. Kwa Taarifa yenu na familia zenu Ikifika 31/10 Hamtaamini macho na masikio yenu.
hapo kwenye red, ya mwaka gani mkuu?