Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,756
- 1,733
Shikamoo Jenerali
ndio kimekuwa kijiwe .....mkuuStor kama hiz zimekua nying sana apa JF
Unanikubali kwa kufanyaje mkuuhahaa ok , dah kaka mimi nakukubali saana
Fresh tu mambo vpShikamoo Jenerali
Mbona hawauzi kahawa sasa kama ni kijiwendio kimekuwa kijiwe .....mkuu
hata tone sihusiani na uparoko wala uchungaji au uaskofuMkuu inawezekana wewe ni paroko au askofu kabisa, maana hao ndo huwa wanaweza kuhimili mikikimikiki ya huyu jamaa shetani
Baadhi ya watu humu mnanifurahisha sana kwa kukariri vijimaneno vya kijinga.......kuna hiyo "summary" kuna "evidence" kuna "tupia ka picha" kuna "chai" kunaaaaaaaaa........ah nyingine nimesahau tusummary
kwa threads zako ziko hotUnanikubali kwa kufanyaje mkuu
Aisee we nae una akili za kipuuzi sana mkuu, kwa hiyo wooooooote wanaoendesha magari humu mijini kumbe huwa unadhani ni ya kwao...... nilishasema.......nafanya mambo yenye kipaumbele kwanza kwangu, huwa sifanyi mambo kwa ajili ya kuiga au kufuata mkumbo, na nikiamua kununu gari cnunui mkweche wa sh 2ml.......anzia 10 ml na kuendeleaDuh! Mpaka leo hata kigari cha milioni mbili hujawahi kununua? Sasa uliwezaje kuendesha wakati hata gari huna? Uongo mwingine bhana...
Ndio uchangamke sasa ununue hilo la M10... Umri unaenda. Kutokana na story yako inaonekana hauko chiniya forty years...Aisee we nae una akili za kipuuzi sana mkuu, kwa hiyo wooooooote wanaoendesha magari humu mijini kumbe huwa unadhani ni ya kwao...... nilishasema.......nafanya mambo yenye kipaumbele kwanza kwangu, huwa sifanyi mambo kwa ajili ya kuiga au kufuata mkumbo, na nikiamua kununu gari cnunui mkweche wa sh 2ml.......anzia 10 ml na kuendelea
Gari nitanunua tu baada ya kuwa nimekamilisha mambo yaliyo ya msingi zaidi kwangu mkuu, sifanyagi mambo kwa kuiga......eti kwa kuwa Fulani kafanya hivi na mi lazima nimjibu kwa kufamya vile au zaidi yake, nakwenda kwa mipango, kama nimepanga nianze na hili halafu hili litakuwa la mwisho basi ivo ndo itakavyokuwa huwa cfanyi mabadiliko ktk mipango yangu bila sababu za msingi.......nadhani utakuwa umenielewa kiasi kwa maelezo hayoNdio uchangamke sasa ununue hilo la M10... Umri unaenda. Kutokana na story yako inaonekana hauko chiniya forty years...
Wewe UNA Kiherere Kama USHUZI WA NGOMANIMaisha yangekuwa namna hii kila mtu angekuwa boss...
Unaanza Kutangaza Biashara Yako ILIYOKUBUHU Ya Kuuza 0713 Wewe CHENJEU Yaani Huogopi Hata Mwezi Huu Wa Kwaresma? Ama Rafiki Zako Akina Amandus Wana Haki Ya Kukukimbia Kwani Ungewapa Nuksi Tuu Kama Sio Gundu.ANZA KUTEMBEA NA VASELINE AU KY GELLY ITAKUJA KUKUSAIDIA SIKU MOJA TRUST ME....
Kama Mumeo Alivyokufahamu WEWE. Naskia Kwenye Bonde Lako La Jangwani Una SHANGA Za Kutosha?Endelea na mgegedo mkuu ili uendelee kuifahamu sheria.