Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kuendelea kunipigania,namrudishia sifa na utukufu. Tukianza mada yetu ni hivi,kwa watu walioajiriwa wanatakiwa kujua nini waajiri wanataka kutoka kwako,jambo la kwanza wanalotaka ni i-uchapakazi ni mtu ambaye akiingia kazini na kuanza kazi mara moja na sio mpaka kusaidiwa muda wote,au kuelekezwa na mtu. ii-vilevile wanataka mtu mwaminifu wa fedha kumbukumbu na muda iii-team bulder(team worker) kushirikiana na wengine. Iv-kujieleza na kueleweka vizuri zaid. V-mbunifu,kuleta mawazo mapya kuangalia mbele. Vi-awe ni mtu wa malengo. Ndugu zangu ukiyafanya haya utadumu kazini. Fanya hvyo na utaona. source:GSHAYO