Gwota
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 205
- 92
JF imegukuwa ni chombo cha kutoa elimu katika masuala mbalimbali:
Mm wana jf sijui na sielewi ni kwann mwai kibaki ambae ndie kiini cha mgogoro wa kenya kwa kitendo chake cha kukataa matokeo asiwe ni mmoja wa watuhumiwa?
Plz anayeweza kujaribu kunielezea namuomba ashushe darasa hapa.
Natanguliza shukrani
Mm wana jf sijui na sielewi ni kwann mwai kibaki ambae ndie kiini cha mgogoro wa kenya kwa kitendo chake cha kukataa matokeo asiwe ni mmoja wa watuhumiwa?
Plz anayeweza kujaribu kunielezea namuomba ashushe darasa hapa.
Natanguliza shukrani