sekulu JF-Expert Member Jan 17, 2011 988 157 Jul 26, 2011 #1 Hapa kaka Mwai sijui alikua anamchimba biti gani Odinga!
Utingo JF-Expert Member Dec 15, 2009 10,270 8,031 Jul 26, 2011 #2 mwai anakamata laga sana na jamaa (laila) si mnywaji, yawezekana laila alimkumbusha kuwa ananuka mdogo akatafute hata hiliki atafune.
mwai anakamata laga sana na jamaa (laila) si mnywaji, yawezekana laila alimkumbusha kuwa ananuka mdogo akatafute hata hiliki atafune.
sekulu JF-Expert Member Jan 17, 2011 988 157 Jul 26, 2011 Thread starter #3 Utingo said: mwai anakamata laga sana na jamaa (laila) si mnywaji, yawezekana laila alimkumbusha kuwa ananuka mdogo akatafute hata hiliki atafune. Click to expand... We kiboko kaka!
Utingo said: mwai anakamata laga sana na jamaa (laila) si mnywaji, yawezekana laila alimkumbusha kuwa ananuka mdogo akatafute hata hiliki atafune. Click to expand... We kiboko kaka!
K KAURANANGA Member Apr 13, 2011 21 2 Jul 27, 2011 #5 Hapo chuki iko wapi? mtu kaamua kutoa jicho lake amtazame mwenzake,