Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
- Thread starter
- #21
Eeeh bwana msiharibu mada; hii ya Mashaka ni by the way. Halafu Mashaka usijipige kichwa kabisa, wewe na MWK ni mbingu na dunia kabisa inapokuja kwenye hoja.
Wameshindwa akina Warioba, Malecela, JK, Makamba, Tambwe Hiza, etc kuitetea CCM itakuwa wewe bwana! Wewe peleka taarifa kwamba nawe upo hapa JF kwa ajili ya CCM wakupigie makofi, lakini ukweli ni kwamba sanasana wewe unazidi kuwatia kinyaa hata wale wachache waliobaki kuiamini CCM akina Kasheshe wakate tamaa! In short, you are just creating more haters for CCM, and you should take this last point very seriously if you are truly here to help CCM.
Hata hivyo siamini kwamba CCM wamekosa watu kiasi hicho, mimi najua ni katika utaratibu uleule wa kujaribu kujimwambafai ile uonwe kwamba upo. Kwa kuwa makada wengi mambo ya mtandao yanawapiga chenga, huenda ukafanikiwa, keep on!
Wameshindwa akina Warioba, Malecela, JK, Makamba, Tambwe Hiza, etc kuitetea CCM itakuwa wewe bwana! Wewe peleka taarifa kwamba nawe upo hapa JF kwa ajili ya CCM wakupigie makofi, lakini ukweli ni kwamba sanasana wewe unazidi kuwatia kinyaa hata wale wachache waliobaki kuiamini CCM akina Kasheshe wakate tamaa! In short, you are just creating more haters for CCM, and you should take this last point very seriously if you are truly here to help CCM.
Hata hivyo siamini kwamba CCM wamekosa watu kiasi hicho, mimi najua ni katika utaratibu uleule wa kujaribu kujimwambafai ile uonwe kwamba upo. Kwa kuwa makada wengi mambo ya mtandao yanawapiga chenga, huenda ukafanikiwa, keep on!