Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Kuna watoto walikuwa wanacheza,mwenzao mmoja akaanza kulia,wakati analia mtumishi wa Mungu akawa anapita,mtumishi akamuuliza "mtoto mbona unalia?"
Mtoto akamjibu,"natafuta yeboyebo zangu sizioni kuna mtu kazichukua". Mtumishi akamwambia,"pole,nyamaza mwachie Mungu tu". Mtoto akamjibu,'Mungu hazimtoshi zilikuwa ndogo"
Mtoto akamjibu,"natafuta yeboyebo zangu sizioni kuna mtu kazichukua". Mtumishi akamwambia,"pole,nyamaza mwachie Mungu tu". Mtoto akamjibu,'Mungu hazimtoshi zilikuwa ndogo"