Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mw/kiti wa BAVICHA wilaya ya Arusha mjini amepigwa vibaya sana na kikundi cha green guard ambacho kikochini ya CCM..tukio hilo limetokea mchana huu akiwa anaelekea kwenye kampeni huko Engototo ambapo kuna kampeni zinaendelea kwaajili ya kumchagua diwani wa kata hiyo uchaguzi utakao fanyika tarehe 2-10-2011, Edero Edero ni mratibu wa kampeni hizo kwa upande wa chadema, Odero odero pamoja na mgombea wa kata hiyo Bw. Maganga walitekwa na vijana hao waliokuwa na rav 4 nyeupe kwa bahati nzuri Maganga alifanikiwa kuwa toroka na kwenda kutoa taarifa polisi ndipo polisi walipo anza kufanya msako wa kumtafuta Odero pamoja na watekaji walifanikiwa kumkuta Odero pori moja huko Engototo akiwa hoi huku watekaji hao wakiwa wamechukua makabulasha yote...