Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Utadhani Fikra Mbadala ndio Deo Balile
Kuna makundi matatu,matano au mengi?Hivi Ndesamburo kabla ya kujiunga na Chadema hakuwa CCM,kama ilivyo Dr Slaa?Tatizo ni uchafu wa MBOWE (INAELEKEA HII NDIO THEME YA POST YAKO,tamaa ya madaraka,demokrasia ndani ya chama au ubabaishaji wa CHADEMA?
Ok,tujaribu kuamini analysis yako.Unadhani hali ingekuwa hivyio CHADEMA wangeshinda Tarime?Kwanini tusiamini kwamba hizi ni hasira ZENU za kubwagwa kwenye uchaguzi huo licha ya kusaidiwa na polisi na kumung'unya takriban bilioni 1 ya walalahoi?
Safisheni kibanda chenu kwanza kabla ya kuhangaikia vya wenzenu
Alianzia HUKU
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/16464-mbowe-jiuzuru-ukinusuru-chama.html
Na bado hatakata tamaa