Kuna mvua kubwa imenyesha hapa Mtwara Manispaa na vitongoji vyake na kunaonesha dalili ya kuendelea kunyesha tena. Naomba kujuzwa na wana jamii forums endapo hii ni moja ya mvua zilizotabiliwa na Dr.Kijazi wa TMA. Naomba kuwasilisha.
Kuna mvua kubwa imenyesha hapa Mtwara Manispaa na vitongoji vyake na kunaonesha dalili ya kuendelea kunyesha tena. Naomba kujuzwa na wana jamii forums endapo hii ni moja ya mvua zilizotabiliwa na Dr.Kijazi wa TMA. Naomba kuwasilisha.
Kuna mvua kubwa imenyesha hapa Mtwara Manispaa na vitongoji vyake na kunaonesha dalili ya kuendelea kunyesha tena. Naomba kujuzwa na wana jamii forums endapo hii ni moja ya mvua zilizotabiliwa na Dr.Kijazi wa TMA. Naomba kuwasilisha.
Kaka hembu punguza maskhara haya ni manyunyu tu.Lakini inawezekana kwa Mtwara ni mvua kubwa maana me ni mgeni maeneo haya.Naamini ungeona ile iliyosababisha mafuriko Dar ungesema Mungu kaamua kuangamiza dunia kwa gharika.Hata hivyo nipo sesi pub nagonga vitu njoo nikuone mwana JF mwenzangu